Askofu Gwajima: Viongozi wa dini hatupingi chanjo ya Corona wala Sayansi bali tunataka tujiridhishe kwanza

Askofu Gwajima: Viongozi wa dini hatupingi chanjo ya Corona wala Sayansi bali tunataka tujiridhishe kwanza

..hebu sikilizeni msimamo wa Askofu Gwajima ktk video hapo chini.

..kwanini sasa ameanza kulainika kuhusu suala la chanjo?

 
Gwajima tukipiga tena kura usitegemee kurudi mnafiki mkubwa wee
 
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye pia ni Mbunge wa Kawe amesema viongozi wa dini hawapingi chanjo ya Corona bali wanashangazwa kwa namna chanjo hiyo ilivyotafitiwa kwa muda mfupi sana.

Askofu Gwajima amesema watakubali kupokea chanjo endapo patafanyika utafiti wa kutosha utakaobainisha chanjo hizo hazina madhara kwa binadamu

Askofu Gwajima alikuwa anahojiwa na Esther Kahumbi wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Ehee mara kageuka
 
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye pia ni Mbunge wa Kawe amesema viongozi wa dini hawapingi chanjo ya Corona bali wanashangazwa kwa namna chanjo hiyo ilivyotafitiwa kwa muda mfupi sana.

Askofu Gwajima amesema watakubali kupokea chanjo endapo patafanyika utafiti wa kutosha utakaobainisha chanjo hizo hazina madhara kwa binadamu

Askofu Gwajima alikuwa anahojiwa na Esther Kahumbi wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
 
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye pia ni Mbunge wa Kawe amesema viongozi wa dini hawapingi chanjo ya Corona bali wanashangazwa kwa namna chanjo hiyo ilivyotafitiwa kwa muda mfupi sana.

Askofu Gwajima amesema watakubali kupokea chanjo endapo patafanyika utafiti wa kutosha utakaobainisha chanjo hizo hazina madhara kwa binadamu

Askofu Gwajima alikuwa anahojiwa na Esther Kahumbi wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Huyu askofu hivi anaelewa kuna watu wamepoteza hadi wanafamilia 5 katika wiki 4 tu? Au anajitoa ufahamu anadhani yeye haitampata?
 
Amini nawaambia wana JF...

''Siyo kila aniitaye Bwana!! Bwana!! ataingia ktk ufalme wa Mbinguni!!!'' .... hiii ni kauli yake Mungu mwenyewe, (Biblia) Bwana mkubwa yule!! Sasa ile Mimbali ya mungu wa Gwajima ilitamka Uongo!

Haya yalitamkwa wazi tena ktk hali ya uwepo wa mungu wake. na clip ziko humu na Jiwe akamuunga mkono kwa hili tena blindly kabisaaa! sitaki kusema kilicho mkuta huyu jiwe wote mnajua yuko mahali salama! sijui km Jiwe alitubu au laa!!

Ni kawaida ya sisi watumishi wa Bwana kufungua ibada kwa Maombi! yenye utangulizi wa mfungo wa maana!! sasa Leo anasema haya kweli?? sijui km alifunga kabla ya kutoa neno la siku ile!

na tukiendelea mbele ki-Biblia zaidi utagundua kwamba .. Mungu si mwanadamu mpaka aseme Uongo ( ukigeu geu hana!!) akisema ndiyo ni amesema ndiyo. akisema ''nikubariki ni ''amesema'' hakuna atakae zuia!! huyu mungu wa Gwajima!! mmmm!! think twice!!

Siku ya mwisho yaaani kile kiama kikifika, hakuna kusema ''Oooh!!! Mungu mie Gwajima alinidamganya''. thubuutu!! ... nyie waumini wa mungu wa gwajima mkifanya hivi?? heee!! nasema ...

Hamtaamini macho yenu kwa kile mtakacho kiona siku ya siku hii ikifika Mungu akitoa hukumu!,,,,, mtakomaje heee???!! Na Mungu alisema muwajaribu hawa wano jiita watumishi wa Mungu.

Si kosa kuwajaribu hawa watumishi fake na Original! Mungu amewaruhusu muwajaribuni hao sasa nyie mnajinyea nyea tuuuuu!! na kutumbua mimacho kwenye vile viti vya Plastic palee Ufufuo na Uzimani wenu huo!!

Msije sema sikuwaambia huu ni ushahidi tosha kabisa siku ya kiama usije sema Ohoo!! Nyarusare haja twambia!! yangu ni hayo..........
 
Back
Top Bottom