Askofu Gwajima: Waafrika tumepitia taabu nyingi kuanzia Utumwa, ukoloni, magonjwa na umaskini tukashinda hata Corona haitatuweza

Askofu Gwajima: Waafrika tumepitia taabu nyingi kuanzia Utumwa, ukoloni, magonjwa na umaskini tukashinda hata Corona haitatuweza

Si Kesha sema Korona ya Ulaya ni 5G,huku tuna 4G
Askofu Gwajima yuko mubashara Clouds tv akiongelea ugonjwa wa Corona na waandishi nguli Baby Kabaye na msaidizi wake Hassan Ngoma.

Gwajima anasema Corona ni tatizo litakalopita kama yale yote yalivyopita huko nyuma na watanzania wasiogope bali wasimame imara imara kwa sababu Mungu anatupigania, tena Mungu ni zaidi ya sabuni, maji na vitakasa mikono.

Gwajima anasema Wasukuma siyo wakabila ndio maana Ilemela imewahi kuwa na mbunge mchaga na Nyamagana imewahi kuwa na mbunge Mjaluo mh Wenje.

Ngoma anauliza Askofu Gwajima aliwahi kusema Makonda ana nguvu isiyojulikana nyuma yake, je ameishaijua hiyo nguvu inatoka wapi?......Gwajima anasema Makonda ni past tense kwa sababu alishamsamehe na anamuombea pia.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wachungaji wajanja wajanja wanaotafuta hela kupitia dini, tunahitaji kuwasikiliza kwa uangalifu mkubwa. Akiongea la maana lichukue. Akiongoe upuuzi ni kumwachia mwenyewe.

Kuna Askofu wa Kanisa moja la Kiroho kule South Korea aliwaambia waumini wake waondoe masks na wamsikilize yeye atakachowaelekeza. Matokeo yake, waumini wake ndio watu walioathirika kuzidi kundi lote. Mpaka leo, wengi walijilaumu kwa ujinga.
 
Hatuhitaji kuwasikiliza kabisa
Hawa wachungaji wajanja wajanja wanaotafuta hela kupitia dini, tunahitaji kuwasikiliza kwa uangalifu mkubwa. Akiongea la maana lichukue. Akiongoe upuuzi ni kumwachia mwenyewe.

Kuna Askofu wa Kanisa moja la Kiroho kule South Korea aliwaambia waumini wake waondoe masks na wamsikilize yeye atakachowaelekeza. Matokeo yake, waumini wake ndio watu walioathirika kuzidi kundi lote. Mpaka leo, wengi walijilaumu kwa ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Watu husema mara kwa mara kwamba "Mungu ameniambia..amenionyesha...amenifunulia n.k", kwa hiyo huyo Mungu huwatuma kwa Waafrika wenzao tu na sio Binaadamu wote?

Mimi nilidhani anakuja na ufumbuzi wa tatizo kwa Binaadamu wote wa Dunia kumbe ni yale yale ya ubaguzi na ubinafsi ya kusema "Waafrika"...ndio kusema kwake kuna Mungu wa Waafrika na Mungu wa Wazungu?
 
Gwajima ni mpuuzi na ni wa kuppuzwa. Wakati ugonjwa hahjaungia alidai kuwa hautaingia Tanzania na Cirana watakauka kwenye ndege kabla ya kufika Tanzania
 
Gwajima ukimsikiliza ana ka Ugenius Fulani ana kipaji Yule jamaa .Siyo mbovu kihivyo kichwani.Kichwani Kuna kitu
 
Mungu huyo huyo unayemdharau ndo golden age ya wazungu walikua wanamtumikia na akawasaidia sana, na ndo wazungu wanawapelekea waafrika habari zake

Swali la kujiuliza kwa nin hasaidii waafrika Kama alivyofanya kwa wazungu, jibu ni rahisi Mungu anataka tutumie akili zetu na sio kwa miujiza

Tatizo lipo kwa watumishi Kama gwajima wameweka msisitizo kwenye miujiza na sio kwenye kutumia akili tatizo ndo lilipo anzia hapa
Kuhusu Corona Gwajima yupo very clear kasema tufuate Mambo ya wataalamu
 
Back
Top Bottom