Yeye keshachagua fungu lake la kutokuchanjwa aache kushawishi watu wengine wasichanjwe. Kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe.Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona...
Sure, yaani serikali inakazi ya ziada katika hili.Kazi ipo!
Gwajima yuko sahihi.Kama wanataka watu wawa-amini walete facts,sio mbwembwe na talalila zile zile za mabeberu,or else wanyamaze.Tukichanjwa wote Hatutaambukizwa ? ... Hapana bado unaweza Ambukizwa
Nikichanjwa Je niache kuvaa Mask?.. Unavaa Mask..
Unajua mtu akianzisha sera fulani' na kuwasway watu waziamini' inakuwa tayari kama'cult' na kuwabadilisha mawazo inakuwa ni'kizungumkuti' aiseee.....Sure, yaani serikali inakazi ya ziada katika hili.
Hii ni kweli,taarifa zipo kwamba wamechanjwa maji ya chanjo yaliyochanganywa na B-Complex!Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona...
Hii ni kweli,taarifa zipo kwamba wengine wamechanjwa maji ya chanjo yaliyochanganywa na B-Complex!Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona...
Halafu ukizingatia katika jamii zetu wengi hawajaelimika, basi inakuwa ni kazi kwelikweliUnajua mtu akianzisha sera fulani' na kuwasway watu waziamini' inakuwa tayari kama'cult' na kuwabadilisha mawazo inakuwa ni'kizungumkuti' aiseee.....
Wewe hutokufa?Gwajima anataka watu wafe sasa atakufa yeye kama Mwendazake.
Hii ni debate wanaotaka chanjo vs wasiotaka chanjo.Yeye keshachagua fungu lake la kutokuchanjwa aache kushawishi watu wengine wasichanjwe. Kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe.
Una maanisha nini ?!Hii ni kweli,taarifa za ndani zipo.Wamechanjwa maji ya chanjo yaliyochanganywa na B-Complex!
Akili zinaniambia kwamba si lazima umuamini Gwajima 100%,ila kwa mtu mjanja na mwenye akili,hii inakuwa base for searching the actual truth.Usiamini kitu bila wewe mwenye kukihakikiaha.Nitakuwa wa MWISHO kumuamini...kimtazamo huyu muasisi wa sukuma gang.
Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya mbunge, waziri na raisi...akaukimbilia ubunge
Treni ya umeme, wazungu wanaleta tokea 2016, haijafika ipo inakuja tokea mbinguni.
Nitawahamishia wananchi wa Kawe, Alabama Marekani hawajahama,
Huyuuuu hakumfufua mwendazake, alimuacha aende, ilhali anajisifia anafufua.
Ni mtumishi feki na mwanasiasa uchwara.
Kibwetere wa Bongo..
Hivi Malone Askofu Mkuu Zakari wapi?
Everyday is Saturday............................... 😎
Correct.Wanaodai hayuko sahihii,watuletee credible scientific facts.Kusema tu chanjo ni salama na blaa blaa zingine,is nonsense.Gwajima ajibiwe kwa hoja nzito na scientific.Gwajima yupo sahihi
Tafuta taarifa,ndio maana mnaingizwa mkenge kirahisi.Una maanisha nini ?!
Kwamba wamechanjwa maji na V. B. au ni chanjo plus vitamin b ?!