Pamoja na a number of offenses unazoweza kusanya/tunga/zungumza, still haitaondoa ukweli kuwa he is the only church leader ambaye si mnafk wala mzandiki.... Kathibitisha hilo kwa kusimamia alichoamini ni sahihi tangu mwanzo...We huna aibu kumuita huyu tapeli "tru prophet ".
Alidai anafufua wafu hali ya kuwa mama yake mzazi kafa na yeye katoa macho tu.
Amerekodiwa anamtafuna kondoo dakika 1 bila aibu. Anaishi kwa udanganyifu na kila mtu anaona we unamuita "true prophet "!?
Kweli nchi imejaa utopolo
Still haindoi ukweli kuwa he stands for what he finds is true regardless who is against the truth!Askofu anafanya hivyo...Tena ingia sexhubb andika askofu....utamuona anavyojatika...ebu mwambieni aongee na hao wenye mtandao watoe hiyo clip maana baba Yuko mnyaMA KABISA
Sawasawa.....Kama nia ni kumtenga na chama, na siyo kudhibiti madhara ya kauli zake, upo sawa mkuu.
Hoja ni hiyo CONSENT FORM...malengo yake yanafanana.....Naona umeruka kinachojadiliwa ni CHANJO sio upasuaji
🤣🤣🤣Hata Mzee Mpili alikuwa nao....hawakumsaidia kuuzuia ule "mbichwa" wa Thadeo Lwanga.....Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusa
Dalali la chanjo kazini! Hahahaaaa...1. Tukichanjwa zaidi ya asilimia 80 tutakuwa na herd immunity ambapo maambukizi yatapungua sana na mwisho kuisha kabisa. Kama ilivyokuwa kwa ndui.
2. Unatakiwa kuvaa mask kwa sababu kuna wengi ambao wanaweza kukuambukiza. Tukumbuke chanjo haizuii kwa asilimia 100. Umezekano wa kuambukizwa upo lakini si mkubwa kama ulivyo kwa wasiochanjwa. Sasa hivi 99 % ya maambukizi mapya ni katika wale wasiochanjwa. Idadi ya wasiochanjwa inapokuwa kubwa ndio uwezekano wa kuambukizwa unavyozidi.
3. Natumaini unaposema maisha ya kawaida ni yale ya kutovaa mask? Kama ni hayo, utaweza pale idadi ya waliochanjwa wakiwa wengi.
4. Unaweza kuambukizwa Kama nilivyosema hapo juu. Lakini hata ukiambukizwa hautaathirika sana kama wale ambao hawajachanjwa. Hautahitaji oksijen au ventileta.
Ni ubinafsi uliokithiri kupima ubora wa kitu kwa namna unavyofaidikq wewe binafsi tu. Umuhimu wa chanjo sio tu kwa mtu binafsi bali pia kwa wale ambao hautawaambukiza.
Majibu haya ni kwa mbunge wa Kawe. Bado hatujasahau meli zetu za uvuvi na ambulance kila tarafa.
Amandla...
Mkuu wafuasi wa Kibwetere hawawezi kukuelewa.Mbona huyu jamaa ana uelewa mdogo,sio Chanjo zote za Corona zimatumia mfumo wa Mrna, Jonson and Jonson inatumia mfumo wa zamani
Johnson & Johnson vaccine uses the more traditional virus-based technology.
Ndiyo ukweli wenyewe, atawageuka mamluki wake muda siyo mrefu.Sidhani kama utamsaidia sana sana ataishia kuchanjwa
Hahahaa aiseeNdiyo ukweli wenyewe, atawageuka mamluki wake muda siyo mrefu.
Everyday is Saturday.............................. 😎
Kweli kabisa, hadi waandishi walikosa msawali ya kuuliza.Maana kwa kuwasoma tu, tayari walikua na na majibu yao ya kisiasa [emoji28]Tangu nilipomuona yule daktari bingwa yule wa kike, Doctor Swai akieleza juu ya chanjo TBC , nilibaki mdomo wazi kwanini Gwajima aitwe mpotoshaji wakati na daktari aliongea Yale yale.
Mwenye hiyo clip anaweza iweka.Maana tunataka kuujua ukweli ili tuamue vizuri bila mihemuko Wala shinikizo.
Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona.
Wapo wanaowaaminisha watu kuwa wamechanjwa na chanjo haijawaathiri kumbe wamechanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe" Askofu Josephat Gwajima
Gwajima amesema yeye hajachanjwa na haitatokea achanjwe.
Chanzo: Semina kanisani kwake
VIPANDE:
Safari hii watu watakufa kama mende
View attachment 1874166
Sisi hatuchanjwi, tutaishi na Corona
View attachment 1874169
Ni CHANJO FEKI, watakufa
View attachment 1875409
Ndiyo hivyo Gwajima aneshawatieni dole la kati na hamuwezi kumfanya chochote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Mzee Mpili alikuwa nao....hawakumsaidia kuuzuia ule "mbichwa" wa Thadeo Lwanga.....
#TujitokezeniKuchanjwa
Anatafutwa kusikika kuonwa, SADAKA na ZAKA tokea manufacturers na wadau wao zimmfikie...nyambafuuuuu!WalletsWalengwa wa hizi hotuba za huyu “kiongozi wa dunia wa kanisa la ufufuo na uzima lenye takribani wafuasi milioni tatu” sio wafuasi wake wala watanzania bali ni mawakala wa chanjo na watengenezaji wake hususani zile zitakazopelekwa huko.
Tujalie wameshamsikia na kumwelewa na watachukua hatua stahiki kwa kadri mifuko yao itakavyoruhusu.
Uviko 19 na chanjo zake ni chakula kipya cha wanasiasa na manabii.
Kwani kuna sehemu nimempinga hapo mkuu???😂😂mpinge kwa hoja na sio chuki tu. Naona Administrator anachanganyanya hoja yangu na wengine. Hizi hoja zinahusuana lakini hazifanani! Naona kuna kasoro kubwa siku hizi JF. as if ni ma-agent wa serikali!