Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
Hii ni fujo gani? Chanjo na Sumakuumeme???? Jamani kila mtu aliyewahi kusikia neno la kigeni analimwaga....Electromagnetic effect itaua sana watu ambao hawajachanjwa
Be careful
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni fujo gani? Chanjo na Sumakuumeme???? Jamani kila mtu aliyewahi kusikia neno la kigeni analimwaga....Electromagnetic effect itaua sana watu ambao hawajachanjwa
Be careful
Nabii hakubaliki kwao🤣🤣🤣🤣Gwaji boy ni prophet? Wtf? Hell no, stop that shit plz. What? 😡
The only thing to fear is fear itselfElectromagnetic effect itaua sana watu ambao hawajachanjwa
Be careful
Je hizo CHANJO unazozitaja unasaini CONSENT form? Kwamba ukichoma kitachokutokea serikali haiwajibiki ni juu yako au huoni hata hao serikali wana mashaka nayo?Sasa ARV wanywaji wamezihakikisha??
Hizo chanjo zingine kina mama wanaopeleka watoto clinic wamezihakikisha??
Yellow fever, hepatitis e.t.c vaccination??
Dawa na madrip na masindano wagonjwa wanazihakikisha??
Je, zile dawa za kina dada za kuzuia mimba, kitanzi, vijiti, sijui vidonge, nani kavihakikisha??
Kumekuwa na hype, madaktari na wataalam wa VIRUS, hawasikilizwi, ila waliodandia fani, wanatafuta political mileage na followers kwa kasi ya upotoshaji ya ajabu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Itasaidia ndani ya chama chetu.....Kumfukuza haitasaidia. Aidha kuwe na mdahalo wa wazi ambapo wataalam wa afya wajibu hoja zake hadharani na alete uthibitisho wa madai yake.
Hujawahi kuwa na mgonjwa wa kufanyiwa upasuaji eeee?!!!!Je hizo CHANJO unazozitaja unasaini CONSENT form? Kwamba ukichoma kitachokutokea serikali haiwajibiki ni juu yako au huoni hata hao serikali wana mashaka nayo? View attachment 1874757
Ooops, mbona ume hoji kitu cha ajabu Mkuu?.Sasa ARV wanywaji wamezihakikisha??
Hizo chanjo zingine kina mama wanaopeleka watoto clinic wamezihakikisha??
Yellow fever, hepatitis e.t.c vaccination??
Dawa na madrip na masindano wagonjwa wanazihakikisha??
Je, zile dawa za kina dada za kuzuia mimba, kitanzi, vijiti, sijui vidonge, nani kavihakikisha??
Kumekuwa na hype, madaktari na wataalam wa VIRUS, hawasikilizwi, ila waliodandia fani, wanatafuta political mileage na followers kwa kasi ya upotoshaji ya ajabu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Character ya true prophet ni pamoja na kusimamia unachoamini ni sahihi hata kwa gharama ya maisha yako... Wale wengine wanacheza mziki kadiri ya mdundo wa bi mkubwa.
Sidhani kama utamsaidia sana sana ataishia kuchanjwaHONGERA SANA BABA ASKOFU GWAJIMA KWA MSIMAMO WAKO DHIDI YA CHANJO
Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona.
Wapo wanaowaaminisha watu kuwa wamechanjwa na chanjo haijawaathiri kumbe wamechanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe" Askofu Josephat Gwajima
Gwajima amesema yeye hajachanjwa na haitatokea achanjwe.
Chanzo: Semina kanisani kwake
VIPANDE:
Safari hii watu watakufa kama mende
View attachment 1874166
Sisi hatuchanjwi, tutaishi na Corona
View attachment 1874169
Subiri uone.Character ya true prophet ni pamoja na kusimamia unachoamini ni sahihi hata kwa gharama ya maisha yako... Wale wengine wanacheza mziki kadiri ya mdundo wa bi mkubwa.
Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusaItasaidia ndani ya chama chetu.....
Atabaki nje aendeleze misimamo yake.....
Tumeshafukuza wengi tu huko nyuma ilitusaidia.,. ..
#CCMImfukuzeGwajima
#KaziIendelee
Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona.
Wapo wanaowaaminisha watu kuwa wamechanjwa na chanjo haijawaathiri kumbe wamechanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe" Askofu Josephat Gwajima
Gwajima amesema yeye hajachanjwa na haitatokea achanjwe.
Chanzo: Semina kanisani kwake
VIPANDE:
Safari hii watu watakufa kama mende
View attachment 1874166
Sisi hatuchanjwi, tutaishi na Corona
View attachment 1874169
Naona umeruka kinachojadiliwa ni CHANJO sio upasuajiHujawahi kuwa na mgonjwa wa kufanyiwa upasuaji eeee?!!!!
Nako Kuna CONSENT FORM ya kujaza.....mbona ile huulizi?!!!!
#ChanjoNiBoraKulikoTiba