Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wala sijamaanisha hichoKwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Tapeli mzoefu from kolomije [emoji23][emoji23][emoji23]Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Gwiji wa nini au lile gwiji la kula kondoo wake na kucheza porno [emoji23][emoji23][emoji23]Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Unataka amuige mtume na nabii shillah kuvaa sare za Chadema?
Chadema wameshapoteza jimbo.Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.