Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Go Gwajima. Waswahili wanasema asiyejaribu hapati kitu.Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go Gwajima. Waswahili wanasema asiyejaribu hapati kitu.Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
na ataleta mabadiliko kwa KaweGo Gwajima. Waswahili wanasema asiyejaribu hapati kitu.
Maendelea yanaletwa na mbunge au serikali wewe?kuna haja ya kusema wew unafaa sana kuwa kawe ili kufanya mabadiliko lkn walio kuwepo kwakweli ni maendeleo gani waliyoleta mpk sasa hakuna tunahitaji mabadiliko kwakweli kawe ...na wewe una faaa sana
Jiulize Sasa kazi ya kushoboka alaf ujuw kinacho endleaMaendelea yanaletwa na mbunge au serikali wewe?
Kwa sababu ww umeishazowea kutapeli ukadhani na wengine ni matapeli kama ww?Tapeli mzoefu from kolomije [emoji23][emoji23][emoji23]
Akuna Cha kuchunga ndimi apa ! Pana po pinda Pana sawa zishwa , akuna kuogopa ogopa apaBinadamu yeyote kama angali akiishi, ni busara Sana kuchunga ndimi zetu, na Mungu alivyo wa Ajabu ametuumba na kuturuhusu tuishi Kwa matabaka mbalimbali lakini ukweli usiopingika kwamba jamii yote tunategemeana
Ukitaka kujua kwamba tunategemeana bila kujali itikadi za vyama, Dini, ukabila, maeneo tutokayo, Jaribu kutokuuchunga mdomo wako uwe mlopokaji Tu, kwani iko siku utalia ukiyalilia uliyowahi kuyasema mwenyewe Wakati ukiwa umepandwa Raha za Wakati huo ukasahau kwamba dunia huzunguka
Mch. Gwaji Leo umechukua fomu ya ubunge, Basi kuanzia leo utambue mdomo unaweza kukuharibia usipate mtu wa kumlaumu!!
Kwani mtu hawezi kuwa mhubiri bila kuwasema wengine?
usipoangalia utamwagiwa maji mpk kwenye mku#......
Ww utakuwa ndiyo muuza hizo ganda na muuza hizo kondoo anazokulaga au ww ndiyo mwenye kiti wa hicho chama?majibu ni kua huyu ni mla ngada na kondoo wake pia anawakula
Bibi yako Alie kupandia mbegu ndo ana akili ,nyambavu weweMpada mbengu za ukabila Hana akili kabisa
Huyu ndiyo kwanza anajitambulisha ni kata ya wale maaskofu wa mahema ya maombezi na si makanisa.Kwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Gwaji boy a.k.a Mchungaji UNO hatari sana.Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Gwajima amemtapeli nani. Leteni uthibitisho wa unachosoma. Hapa JF huwa tunatoa hoja zenye mashiko na uthibitisho sio uongo ambao hata huwezi kuuthibitisha.
kama la mamako hahahaha vile anajuaGwaji boy a.k.a Mchungaji UNO hatari sana.
Kumbe kwaya ya parokia yenu ndiyo wanavaaga hivyo?Shati la kuimbia kwaya [emoji1787][emoji1787]
Gwajima amefanya nini zaidi ya kumtoa-mba yule muumini wake?Utakatwa wee eti kawe n ya mdee amezaliwa nayo hyo kawe au alishuka nayo kutoka mbingun achen ujinga huyo mdee amefanya nn zaidi ya kupiga kelele kutukana tu