HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Dini na siasa ndio mnaona haiwezekani kuchanganya Ila dini na biashara ndio sawaeee hebu acheni unyanyembe siasa ni haki ya kila Mtanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini na siasa ndio mnaona haiwezekani kuchanganya Ila dini na biashara ndio sawaeee hebu acheni unyanyembe siasa ni haki ya kila Mtanzania
Ndio msemo wa watawala pale kiongozi wa dini anapowakosoa ila akiwa upande wao haonekani kuchanganya dini na siasaDini na siasa ndio mnaona haiwezekani kuchanganya Ila dini na biashara ndio sawaeee hebu acheni unyanyembe siasa ni haki ya kila Mtanzania
Aise nakupa pole maana hata Kama hutaki atashinda tu Kama wewe kwako hafai Basi kwa wengine anafaaa Mara Mia zoteLabda abebwe na kabila lake, hana lolote la kuwaambia wapiga kura wa Kawe wakamuelewa, bora akachunge kondoo zake tu.
Ni uamuzi wa mtu binafsi, kwani amekukera nini yeye kuvaa sare za chama chake?Kwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Gwajima amemtapeli nani. Leteni uthibitisho wa unachosoma. Hapa JF huwa tunatoa hoja zenye mashiko na uthibitisho sio uongo ambao hata huwezi kuuthibitisha.Kuna tofauti Kubwa sana kati ya kuwa ' Tapeli wa Kiroho ' na kuwa ' Mbunge wa Wananchi ' hasa katika Medani za Kisiasa Ulimwenguni kote tu.
Nadhani hilo swali lingeenda kwa mtoa madaNi uamuzi wa mtu binafsi, kwani amekukera nini yeye kuvaa sare za chama chake?
Pongezi zake Gwajima; Alete maendeleo Kawe!Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Wewe umesikia wapi; ukitumia akili yako japo hata kidogo utaelewa kwamba Gwajima anamtaji mkubwa sana wa watu kuliko MdeeHuyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi.Lakini CCM Jimbo la kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani Ila anaafadhali kidogo.Kawe Ni ya Mdee
Utakatwa wee eti kawe n ya mdee amezaliwa nayo hyo kawe au alishuka nayo kutoka mbingun achen ujinga huyo mdee amefanya nn zaidi ya kupiga kelele kutukana tuHuyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi.Lakini CCM Jimbo la kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani Ila anaafadhali kidogo.Kawe Ni ya Mdee
Ni Jambo zuri Sana gwaji kufanya ivyo hakika kawe itakua mpya soonAskofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Kwaiyo unaanza kumpangia adi nguo sio!Kwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Clemisha maisha, 2020 ya GwajiHuyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi. Lakini CCM Jimbo la Kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani ila anaafadhali kidogo. Kawe ni ya Mdee
Huo ni uamuzi mzuri sana Gwajima wewe ni Jembe soon Kawe itabadilika.Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Nenda maabara ukaulizie panya softMajibu ya vipimo vya mkoja yameshatoka? Maana nasikia alipimwaga huyu.
Kila mtu ana maamuzi yake na watu tunatofautiana kama vilivyo vidole vyako kwa hiyo usimjaji mtu tafuta kingine cha kucomment.Kwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Kashapita uyo we endlea kulia lia tLabda abebwe na kabila lake, hana lolote la kuwaambia wapiga kura wa Kawe wakamuelewa, bora akachunge kondoo zake tu.
Hivyo hivyo utakavyodhani awe mwana chama asiwe mwanachama ndiyo ameisha chukuwa fomu ni wakati wa Gwajima kufanya yake kwenye jimbo la Kawe mbele ya wanawake.Huyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi. Lakini CCM Jimbo la Kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani ila anaafadhali kidogo. Kawe ni ya Mdee