Tajir swala la unyanyasaji wa ccm halijafikia kwenye kilele cha hasira.hadi sasa tuna umeme wa uhakika ukifanya biashara huibiwi .hawatunyanganyi ardhi zetu hizo ndogo zinafanya watu tuseme kuliko vita bora hii.ila wakigusa imani bosi duniani binadamu anaheshimu dini kuliko serikali ni dont touch zone ndo maana vita ya middle east haiishi.huyu mkaibe dhahabu tumewazilia na ucjaguzi mjichague sawa msijaribuAhahahahaha! Ukiona mtu anatamba, basi ujue mfumo uliopo umemruhusu atambe. Ila kifupi , he's just a bug!
The beauty of FAKE IDs..!!! Usikute babaako ndo unaniita kijana.acheni mapombe asubuhi asubuhi vijana 🐒
Sasa unapindua kijeshi lini?Mimi sipigi kura kwenye uchaguzi ww kishenzi, wapiga kura kwenye uchaguzi unaosimamiwa na waiba kura?!
Huyo Ruwaichi ni Chadema damu tunajua. Ila Mwanza mwaka 2015 tulimnyoosha eti alikuwa anasema hatujitambui hivyo Chadema inashinda Mwanza. Alikuwa akiongea hivyo akiwa na Chagadomo wenzake pale TEC hakujua sisi tulikuwa tunamchora tu!! 🤣🤣Niulezee Kwa vipi ikiwa wao ni wahanga wa haya makanisa yanayowasaidia Chadema siasa kisa tuu wanamvhukia Samia Kwa sababu sio wa dini Yao?
Ni upuuzi usio na msingi kujisemesha na kutaka ku nullify uchaguzi kisa matukio 3 sijui matano Nchi nzima , analysis ya wapi hiyo?
Wasivyo hata na aibu ,juzi kati hapo viongozi wa CCM waliuwawa,na hata kwenye uchaguzi huu mmja kachomwa kisu ,hayo yote hawajayaonia ila wanaona ya Wapinzani.
Hawa wakae kimya kabisa,wanashabikia Upinzani Kwa maslahi ya nani? Juzi mwingine analalamika Mbowe Kukamatwa wakati wanajua alifanya mkutano ratiba sio yake.
Mshenzi sana huyo Jamaa,ni WA kupuuzwa tuone atakachofanya.Huyo Ruwaichi ni Chadema damu tunajua. Ila Mwanza mwaka 2015 tulimnyoosha eti alikuwa anasema hatujitambui hivyo Chadema inashinda Mwanza. Alikuwa akiongea hivyo akiwa na Chagadomo wenzake pale TEC hakujua sisi tulikuwa tunamchora tu!! 🤣🤣
Ni kweli, siasa za Africa ni kutegemea vyombo vya dola kushinda kwa shuruti.Wewe utakuwa mjinga,ratiba imewekwa ya nini? Ndio maana mumekatwa Kwa kutifuata kanuni zilizopo harafu mnakuja kuongea upuuzi huku mitandaoni na hao wanaowafariji na wasio na Msaada .
Kwanza hata Wafuasi wenu hawapigi kura eti wanajisemesha ooh kura zitaibiwa,Sasa hapo ndipo ccm wanafurahi na Huwa unaona wanahamasishanazkuoigiana simu na kuwasafieisha watu wao kuanzia kujiandikisha Hadi kupiga kura.
Nyie endeleeni na ujinga wenu wa mitandaoni mtakoma.Mnaleta siasa za Ulaya Africa?
Unaachaje kushinda kwa kishindo ukiwa refa ww, linesman ww, kamisaa ww?Ahahahahaha! Hao wanaolalamika CCM imepika matokeo wako wapi? Msumbiji watu wanaolalamika waziwazi. Hapa Tanzania wanaolalamika kupokea matokeo we umewaona? Ahahahahaha!! Ushindi wa kishindo unasubiriwa tena 2025!!! Ahahahahaha!!!
Hawatumi maombi. Majengo yao si unayajua mkuu?Hivi nawezaje kujiunga na Kanisa Katoliki kutoka huku Moravian?
Ndio hivyo sasaNi kweli, siasa za Africa ni kutegemea vyombo vya dola kushinda kwa shuruti.
mbwa weweanachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau 🐒
wewe baba yako uliuza nguruwe akapeleka shule nguruwe mwingine maza fantapole mno helpless and confused gentleman 🐒
Labda lutheran, ila rc wanajiuwezo kujiendesha bila misaada. Moja taasis yenye chuo, shule na mahospitaliWenz
Siwaamini kesho utasikia wanapokea msaada wa ujenzi wa kanisa wanabadili msemo
hamna point umeandika mkuu. Mtu kuwa mchaga si lazima awe chadema, ni sawa nankusema kila mzaramo ni malayaHalafu sijui ana mapengo, ila ni mchaga, wanachadema wengi wanatokea huko. Kitima yeye anamuunga mkono msingida mwenzake. Wakatoliki wakiona Rais muislamu wanakuwaga na midomo mirefu