#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

Msikilize hapo chini...! Huyu ni mmojawapo wa maaskofu ambao analitendea vyema hilo jina ASKOFU.
View attachment 1891773
Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;

Bakoa ni safe kwa kuwa kitaaluma imeonyeshwa kuwa ukipata hewa kidogo haina madhara kwenye immune system,ukivuta tena ndani hewa chafu haina madhara kwenye afya kwa ujulma including your immune system;

Vitambaa vibavyotumika kutengezea barakoa havina na havitoi dangerous gases and substances na havijapandikiziwa poisons kama Graphene Oxide ambayo imeonekana kwenye barakoa zingine;Lockdows hazina madhara kwa kuwa utafiti wa kutosha umeshafanyika na imeonekana ni safe.Social distancing nayo hali kadhalika.

Kuwaambia watu tu wakachanje bila kuwaambia uzuri na ubaya wa chanjo hizo ni ignorancy and irresponsible behaviour.Kakobe ajitathmini kama kweli anafaa kuitwa Askofu.

Kwa tathmini yangu nadhani he is compromized:amepewa mrungura na Mr.Global.Shame on him.
 
Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;...
.
Yeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....
 
Eti Askofu..yy na Gwajima wananichekesha,,na Mzee wa upako nae Askofu... F**kin lol 🤣🤣
 
Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Bakoa ni safe kwa kuwa kitaaluma imeonyeshwa kuwa ukipata hewa kidogo haina madhara kwenye immune system,ukivuta tena ndani hewa chafu haina madhara kwenye afya kwa ujulma including your immune system;Vitambaa vibavyotumika kutengezea barakoa havina na havitoi dangerous gases and substances na havijapandikiziwa poisons kama Graphene Oxide ambayo imeonekana kwenye barakoa zingine;Lockdows hazina madhara kwa kuwa utafiti wa kutosha umeshafanyika na imeonekana ni safe.Social distancing nayo hali kadhalika.

Kuwaambia watu tu wakachanje bila kuwaambia uzuri na ubaya wa chanjo hizo ni very ignorant and irresponsible.Kakobe ajitathmini kama kweli anafaa kuitwa Askofu.

Kwa tathmini yangu nadhani he is compromized,amepewa mrungura na Mr.Global.Shame on him.
.
ukishindwa kuiamini wizara ya Afya na WHO ukamuamini gwajima kama chanzo chako cha tafiti za Afya , utakua bonge la fala yan sijawai ona
 
Yeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....
Siku hizi hakuna mtu wa kuamini.Hao hao tunao waamini ndio wanaotuuzia pombe na sigara huku wakituambia ni hatari kwa afya yako.Bullshit,it's shear nonsense.

Halafu nakushangaa ujue,hivi nikisema ukweli ndio nimekuwa much know!Kwa hiyo tunyamaze huku watu wetu wanaumizwa,nnever,not me not me,Kama kitu ni kibaya I will raise up my voice,no matter what.
 
Naona anamchokoza Bishop. Gwajima

Au ndio kujipendekeza kwa Mamlaka?
 
Yeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....
Kama sio mtaalamu anyamaze,atashaurije kitu asichokijua?It is very stupid of him.
 
Yeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....
Mwaka jana 2020 mbona hakuvaa barakoa kwenye mikutano?
 
Hana lolote huyu kuna wakati walimuunga Lyatonga mkono kuwa atakuwa Rais wa JMT yeye na wafuasi wake wafunga vilemba vyeupe. CCM awamu hii ndio imefikia hapo kutafutiza kuhalalishwa na kakobe na wa aina yake.#Chanjo ni hiari ya mtu.
 
ukishindwa kuiamini wizara ya Afya na WHO ukamuamini gwajima kama chanzo chako cha tafiti za Afya , utakua bonge la fala yan sijawai ona
Siwezi kuiamini Wizara ya Afya kwa kuwa ndio hao hao walio ruhusu watu wauziwe sigara na pombe huku wakisema ni hatari kwa afya zao!Na siwezi kuwaamini the WHO kwa kuwa ni wabia katika mauaji ya C-19 ambayo ni fully funded by the killers Anthony Fauci na Bill Gates.Siwezi kuiamini pia the WHO kwa kuwa it is almost fully funded by Bill Gates,the killer.Mkuu mimi sio poyoyoyo,labda wewe.
 
Back
Top Bottom