#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

Chanjo ni kwa ugonjwa wa virusi tuu siyo kila ugonjwa! Magonjwa yote yanayoenezwa na virusi havina tiba, namna pekee ya kuzuia ni kwa chanjo! Malaria haina tiba? Husababishwa na virusi
Hizi taarifa umezipata wapi.Kama umezipata kwa hawa hawa Wizara ya Afya ambao ni trained by the NWO system,usiziamini,na mimi siziamini.

Nimegundua in the hard way kwamba tunaowaita madaktari actually wamafundishwa na a system I call the NWO evil system,ili watudanganye na wao bila kujua hatimaye watupeleke kwenye slaughter palour!Many Doctors are enemies of humanity,ingawa wapo wengi ambao sio compromized,na hawa ndio wanaotoboa siri za uovu unaoendelea.

Mkuu hivi unajua kwamba hii health crisis inayoendelea imechangiwa na kiwango kikubwa na medication na other protocols ambazo ni prescriptions za madaktari?Mimi siku hizi naogopa hospitali kama ukoma!Naogopa hasa ninaposikia cases za organ harvesting for business, muders Ulaya,India,South America na America yenyewe ya wagonjwa wa Corona ili ionekana kwamba C-19 is real.Inatisha sana to be frank.
 
ukishindwa kuiamini wizara ya Afya na WHO ukamuamini gwajima kama chanzo chako cha tafiti za Afya , utakua bonge la fala yan sijawai ona
Yeye gwajima ndo chanzo Cha tafit huku hakuna hata paper moja aliyoandika ya masuala ya afya
 
Hizi taarifa umezipata wapi.Kama umezipata kwa hawa hawa Wizara ya Afya ambao ni trained by the NWO system,usiziamini,na mimi siziamini.

Nimegundua in the hard way kwamba tunaowaita madaktari actually wamafundishwa na a system I call the NWO evil system,ili watudanganye na wao bila kujua hatimaye watupeleke kwenye slaughter palour!Many Doctors are enemies of humanity,ingawa wapo wengi ambao sio compromized,na hawa ndio wanaotoboa siri za uovu unaoendelea.

Mkuu hivi unajua kwamba hii health crisis inayoendelea imechangiwa na kiwango kikubwa na medication na other protocols ambazo ni prescriptions za madaktari?Mimi siku hizi naogopa hospitali kama ukoma!Naogopa hasa ninaposikia cases za organ harvesting for business, muders Ulaya,India,South America na America yenyewe ya wagonjwa wa Corona ili ionekana kwamba C-19 is real.Inatisha sana to be frank.
We endelea kumuamin gwajima
 
Mimi nilifikiri mwanasayansi nguli ndo anatoa huu ujumbe akiwa na evidence zote za kiutafiti kumbe ni porojo za kakobe pasipo ku quote maandiko yapi yanaamrisha mtu afanye jambo ambalo ni kinyume na dhamiri na utashi wake, wewe jamaa ni bogus sana aisee.....
Kwa hiyo rais Samia ni mwanasayansi sababu ana hamashisha chanjo
 
Yeye gwajima ndo chanzo Cha tafit huku hakuna hata paper moja aliyoandika ya masuala ya afya
Hizo tafiti ambazo ziko funded na NWO agents na ambazo themes wanatoa wao!Papers written from results of such projects are not trustworthy,kwa kuwa zina save the intrests of the NWO agender.Sasa Bill Gates akikupa an RT-PCR kit na hela akakuambia uchukue samples in all big towns in Tanzania halafu u-publish results, results hizo zitakuwa zina save intrests za nchi kweli.No zina save interests za his masters,the NWO cabal.Tuwe diagnostic jamani,tusinunuliwe kirahisi hivyo.Eti papers,theme inatokana na agenda ya nchi?

By the way hivi unajua kwamba journals nyingi siku hizi ambazo tulikuwa tunazi respect zamani kama Nature,Microbiology na Virology etc., zinapokea fake papers for publication?Wanapewa hela halafu wana publish fake papers which advances the agenda of the NWO cabal.

Nimalizie kwa kusema kwamba uncompromized publications and information is available in the internet about C-19,so hata mtu kama Gwajima ambaye hana fani ya medicine,anaweza ku-access na akasoma,as long as he or she is fluent in English.

Kwa bahati mbaya sana,wataalamu wetu wengi ni either compromized,lazy,dumb au they just do not like to learn,they seem to be content with what they learnt at University,kwa hiyo wanaingizwa mkenge kirahisi sana.


This is obvious hasa katika swala la C-19.Science iliyotumika kutengenezea hiki kinachoitwa kimakosa C-19 vaccine,is relatively new science,kwa hiyo wataalamu wetu ni kama wameachwa kwenye mataa hivi.Hata hivyo ni wazi kwamba kama wangekuwa watu ambao wanapenda kujisomea,tusinge ingizwa chaka kirahisi hivi.
Kwani Gwajima pamoja na sisi wengine tumejuaje science iliyoko nyuma ya utapeli huo,it's through reading.Watanzania hasa sisi tunaoitwa wataalamu tupende kujisomea ili tuweze kuwasaidia wananchi wetu in times of need kama sasa,or else taifa halikuwa na faida yeyote ya kutu-somesha.
 
ukishindwa kuiamini wizara ya Afya na WHO ukamuamini gwajima kama chanzo chako cha tafiti za Afya , utakua bonge la fala yan sijawai ona
Absolutely !! The focus is to always get well prepared in advance for interventions.
 

Attachments

  • The next outbreak_ We’re not ready _ Bill Gates_2014_TED TALKS.mp4
    27.7 MB
Huhitaji kujifunza kwa Gwajima kujua kwamba inayoitwa chanjo ya C-19 ni mbaya mkuu.Ni mjinga tu anayeweza kuwaza hivyo,kwa kuwa taarifa za ubaya wa hii chanjo zimejaa tele kwenye mtandao,ni swala la kuzitafuta tu.Ungekuwa na akili ungewaza,kwani Gwajima yeye kazipataje?Kama wewe ni mbumbumbu ni wewe.Sisi wengine tunajua,tena labda hata zaidi ya Gwajima.
We jamaa bwana huko mitandaoni unako dhani wewe kwa uelewa wako ndio chanzo chako cha kuaminika , wanao post ni wenye akili kama za gwajima na wewe, maana mpo hata huko, mtandaoni hata ukitaka kupata madhara ya kula utaletewa ya kutosha kwa sababu waandishi wa mitandao ndio nyie nyie usidhan ya mitandaoni yanatoka kwa malaika.
 
We jamaa bwana huko mitandaoni unako dhani wewe kwa uelewa wako ndio chanzo chako cha kuaminika , wanao post ni wenye akili kama za gwajima na wewe, maana mpo hata huko, mtandaoni hata ukitaka kupata madhara ya kula utaletewa ya kutosha kwa sababu waandishi wa mitandao ndio nyie nyie usidhan ya mitandaoni yanatoka kwa malaika.
Hayo unayo yaamini wewe yanatoka wapi mkuu.Si through communication.Mbona PhD zinapatikana humu humu kwenye mtandao mkuu.Mtu misled ndiye anayeweza kuwa misled,if you are not misled,you can't be misled.
 
Back
Top Bottom