Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Hizi taarifa umezipata wapi.Kama umezipata kwa hawa hawa Wizara ya Afya ambao ni trained by the NWO system,usiziamini,na mimi siziamini.Chanjo ni kwa ugonjwa wa virusi tuu siyo kila ugonjwa! Magonjwa yote yanayoenezwa na virusi havina tiba, namna pekee ya kuzuia ni kwa chanjo! Malaria haina tiba? Husababishwa na virusi
Nimegundua in the hard way kwamba tunaowaita madaktari actually wamafundishwa na a system I call the NWO evil system,ili watudanganye na wao bila kujua hatimaye watupeleke kwenye slaughter palour!Many Doctors are enemies of humanity,ingawa wapo wengi ambao sio compromized,na hawa ndio wanaotoboa siri za uovu unaoendelea.
Mkuu hivi unajua kwamba hii health crisis inayoendelea imechangiwa na kiwango kikubwa na medication na other protocols ambazo ni prescriptions za madaktari?Mimi siku hizi naogopa hospitali kama ukoma!Naogopa hasa ninaposikia cases za organ harvesting for business, muders Ulaya,India,South America na America yenyewe ya wagonjwa wa Corona ili ionekana kwamba C-19 is real.Inatisha sana to be frank.