Yeye kachanjwa? Kishawahi kuwaambia serikali kuleta chanjo ya malaria? Why chanjo ya corona?[emoji15]
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwanini hazipo chanjo za malaria hadi leo si jambo la kuongelea ki pedestrian namna hiyo jombi.
Bora hata ungeuliza basi kuliko kujifanya wajua mno 😂😂😂😂😂!
Khaaaaaa!