#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

Yeye kachanjwa? Kishawahi kuwaambia serikali kuleta chanjo ya malaria? Why chanjo ya corona?[emoji15]


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Kwanini hazipo chanjo za malaria hadi leo si jambo la kuongelea ki pedestrian namna hiyo jombi.

Bora hata ungeuliza basi kuliko kujifanya wajua mno 😂😂😂😂😂!

Khaaaaaa!
 
Hizi chanjo ni mhimu kujiridhisha kisayansi kwamba hazina madhara, pia, hizi cha njo kwa vipimo vya mandiko matakatifu, Kama zimekuja ili zitimize kitu hapo!

Hilo ndilo tatizo lililopo, Mwenye Imani hiyo, kufa, kwake ni bora kuliko kuchanjwa!! na ndicho kinachoendelea karibu kwa mataifa yote!
 
Mimi nilifikiri mwanasayansi nguli ndo anatoa huu ujumbe akiwa na evidence zote za kiutafiti kumbe ni porojo za kakobe pasipo ku quote maandiko yapi yanaamrisha mtu afanye jambo ambalo ni kinyume na dhamiri na utashi wake, wewe jamaa ni bogus sana aisee.....
 
Kwa nini?

Ujinga wa baadhi ya watu wa nchi hii unakera. Hujui kuwa ukiwa positivena bila kuumwa au ukiunwa na ukapona maana yake ni kuwa mwili umetengeneza antibodies na unaweza kukaa hadi miezi tisa bila kuhitaji chanjo??

Jifunze kwanza kuhusu ugonjwa huu kabla hujarukia mada zitakazokuaibisha!!
 
Watu wamekuwa na scientific arguments kwamba chanjo ya corona ni salama ukilinganisha na chemical ingredients zake? Jibu zuri ni lile linaloendana na swali hata kama si sahihi.
 
Ujinga wa baadhi ya watu wa nchi hii unakera. Hujui kuwa ukiwa positivena bila kuumwa au ukiunwa na ukapona maana yake ni kuwa mwili umetengeneza antibodies na unaweza kukaa hadi miezi tisa bila kuhitaji chanjo??

Jifunze kwanza kuhusu ugonjwa huu kabla hujarukia mada zitakazokuaibisha!!
Hujui lolote, unamezeshwa tu maujinga
 
Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;

Bakoa ni safe kwa kuwa kitaaluma imeonyeshwa kuwa ukipata hewa kidogo haina madhara kwenye immune system,ukivuta tena ndani hewa chafu haina madhara kwenye afya kwa ujulma including your immune system;

Vitambaa vibavyotumika kutengezea barakoa havina na havitoi dangerous gases and substances na havijapandikiziwa poisons kama Graphene Oxide ambayo imeonekana kwenye barakoa zingine;Lockdows hazina madhara kwa kuwa utafiti wa kutosha umeshafanyika na imeonekana ni safe.Social distancing nayo hali kadhalika.

Kuwaambia watu tu wakachanje bila kuwaambia uzuri na ubaya wa chanjo hizo ni ignorancy and irresponsible behaviour.Kakobe ajitathmini kama kweli anafaa kuitwa Askofu.

Kwa tathmini yangu nadhani he is compromized:amepewa mrungura na Mr.Global.Shame on him.
Very smart...watanzania wenye ubongo kama wako including humu JF ni wachache sana...they don't ask smart and serious questions, they just want people to align to the slaughter house without even asking the basic questions.

If he has decided to be an ambassador of vaccines, maybe he should tell us first what’s in the vaccine and what are the long term side effects for humans. The short term animal trials didn’t go so well for them.

I refuse to be vaccinated because there is no long-term data on its safety and covid19 recovery is 97.9% for <55. Surprisingly there's a lot of blackmailing to take this experimental mNRA vaccine,
 
... nani aliyekuambia Maulaya hakunaga wajingawajinga?

1628958295224.png

 
Yeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....
well said
 
Back
Top Bottom