Yeye kachanjwa? Kishawahi kuwaambia serikali kuleta chanjo ya malaria? Why chanjo ya corona?[emoji15]
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
ila unamuamini gwajima na jpm au sio?
unaongea usiyoyajua labda ni upeo mdogo wa akili
ndio chanzo cha taarifa zako hicho?
Kwa nini?
Hujui lolote, unamezeshwa tu maujingaUjinga wa baadhi ya watu wa nchi hii unakera. Hujui kuwa ukiwa positivena bila kuumwa au ukiunwa na ukapona maana yake ni kuwa mwili umetengeneza antibodies na unaweza kukaa hadi miezi tisa bila kuhitaji chanjo??
Jifunze kwanza kuhusu ugonjwa huu kabla hujarukia mada zitakazokuaibisha!!
Followers wa Gwajima haoKichwa yako ina problem+stupidity
Very smart...watanzania wenye ubongo kama wako including humu JF ni wachache sana...they don't ask smart and serious questions, they just want people to align to the slaughter house without even asking the basic questions.Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;
Bakoa ni safe kwa kuwa kitaaluma imeonyeshwa kuwa ukipata hewa kidogo haina madhara kwenye immune system,ukivuta tena ndani hewa chafu haina madhara kwenye afya kwa ujulma including your immune system;
Vitambaa vibavyotumika kutengezea barakoa havina na havitoi dangerous gases and substances na havijapandikiziwa poisons kama Graphene Oxide ambayo imeonekana kwenye barakoa zingine;Lockdows hazina madhara kwa kuwa utafiti wa kutosha umeshafanyika na imeonekana ni safe.Social distancing nayo hali kadhalika.
Kuwaambia watu tu wakachanje bila kuwaambia uzuri na ubaya wa chanjo hizo ni ignorancy and irresponsible behaviour.Kakobe ajitathmini kama kweli anafaa kuitwa Askofu.
Kwa tathmini yangu nadhani he is compromized:amepewa mrungura na Mr.Global.Shame on him.
πππππMsikilize hapo chini...! Huyu ni mmojawapo wa maaskofu ambao analitendea vyema hilo jina ASKOFU.
View attachment 1891773
Mbona unamtukana mwenzio? Si mawazo yake? Tukichukua mawazo yake aliyosema plus na matusi yako Nan ataonekana mwenye kichwa Cha problemKichwa yako ina problem+stupidity
Hakuna wa kuamini huyu jamaa, 'after all he is nearby to sunset so do not bother his shivering influence'Msikilize hapo chini...! Huyu ni mmojawapo wa maaskofu ambao analitendea vyema hilo jina ASKOFU.
View attachment 1891773
Hahahah! Hawa makasisi wanayumba tu mkuu. Huyu nae umesahau huko nyuma mambo yake? Kwahiyo, itategemea tu wameamkaje siku hiyoMsikilize hapo chini...! Huyu ni mmojawapo wa maaskofu ambao analitendea vyema hilo jina ASKOFU.
View attachment 1891773
Wapo nyumbu kama wa mtaa wa ufipa??!!
well saidYeye siyo mtaalamu wa hayo mambo uliyoeleza, yeye anawaamini wataalamu wa hayo mambo uliyoyaeleza ambao ni wizara ya afya kwa hapa TZ. Na vile vile wataalamu wa mambo wa afya nao siyo wataalamu wa biblia, ndiyo maana wanaenda kupiga goti kwa Kakobe. Duniani tumeumbwa kugawana majukumu, huwezi mtu mmoja ukajua kila kitu. Ukitaka kujua kila kitu utaishia kujua robo robo na mwisho wa siku utawaingiza watu chaka. Acha umuch know....