Askofu Kilaini achemsha kwa ushauri huu!

Askofu Kilaini achemsha kwa ushauri huu!

Netanyahu said:
Ni heri kuwa na makanisa madogo yenye watu chini hata ya mia mbili lakini walipa kodi kuliko kuwa na mikanisa mikubwa yenye mamilioni ya waumini lakini hayalipi kodi.kiuchumi ni biashara kichaa

Notion kuwa makanisa madogo yanalipa kodi sijui unapoitoa, na kwanza hata concept ya 'makanisa madogo' sijui hata ilipoibukia. Ishu iliyopo mezani ni ishu ya ukwepaji kodi kwa kupitia jina la kanisa. Hii imezungumziwa kuhusishwa na uandikishaji holela wa makanisa ktk mamlaka husika bila ufuatiliaji. This was what we should be discussing, lakini watu pori wameingilia hii thread na kuipeleka 'kusikojulikana'..
 
Kwangu mimi huu ni Ushauri wa hatari kwa nchi iliyojiwekea misingi ya uhuru wa kuabudu kwenye katiba yake. Yaani watz 200 wakitaka kuabudu wasihalalishwe kuabudu! Idadi gani ni halali?

Nadhani unahitaji kufanya 'textual analysis'. Askofu hakujenga hoja yake kwa hiyo namba ya 'watu 200' bali kwamba kuna baadhi ya makanisa yanatumia vibaya msamaha wa kodi. Ni vizuri kunazishwa makanisa hata yawe sawa na idadi ya watu duniani. Siyo kitu. Lakini 'finality' yake ina'matter' sana.

Kama baadhi ya makanisa yana'abuse' misaada hiyo na kufanya serikali ianze kuyatilia mashaka hata madhehebu ambayo yanafuata utaratibu mzuri na kusaidia kuleta maendeleo ya nchi na watu nadhani kuna haja ya kuliangalia hili vizuri zaidi na Methodius alikuwa na maana hiyo mimi nilivyomsikiliza kupitia TV Tumaini.
 
Uamuzi wa kufuta kodi kwa dini zote ilikuwa sawa kabisa (right track). Kwakuwa sisi tusio na dini tunalipa kodi sawa sawa kwanini? upuuzi
Lakini kwakuwa serikali inaongozwa na kanisa katoliki lazima wainame, Subirini tushike nci wasio na dini kodi mtindo moja.
ukianzisha dini waumini wako watalipia kila kitu no point of intefering the legal system bullshit with religion groups wezi wakubwa halfu wanafiki wakubwa.
 
Uamuzi wa kufuta kodi kwa dini zote ilikuwa sawa kabisa (right track). Kwakuwa sisi tusio na dini tunalipa kodi sawa sawa kwanini? upuuzi
Lakini kwakuwa serikali inaongozwa na kanisa katoliki lazima wainame, Subirini tushike nci wasio na dini kodi mtindo moja.
ukianzisha dini waumini wako watalipia kila kitu no point of intefering the legal system bullshit with religion groups wezi wakubwa halfu wanafiki wakubwa.

Your arguments are misplaced and does not fit this discussion.
 
Back
Top Bottom