Askofu Konki: Wanasiasa Wanamsifia Rais Samia na kumkashifu Hayati Magufuli, Hii ni kujipendekeza

Askofu Konki: Wanasiasa Wanamsifia Rais Samia na kumkashifu Hayati Magufuli, Hii ni kujipendekeza

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Askofu mkuu wa kanisa la Pentekoste Tanzania na mwenyekiti wa baraza la makanisa ya kipentekoste Tanzania, Peter Konki amewasilisha mada ya umoja na mshikamano katika kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya hayati John Magufuli ambalo Rais Samia Suluhu alikuwa Mgeni Rasmi



Askofu Peter amesema;

''Nimeona kwenye mitandao ya jamii baadhi ya wanasiasa wakimsifia mama Samia, Rais wa sasa na kutoa kashfa juu ya utendaji wa Rais aliepita, Magufuli. Hii ni kuonyesha namna ya kujipendekeza ili waangaliwe katika nafasi fulani fulani ya uteuzi tena nasema ni unafki mbaya sana.

Watu hawa wanafanya hivyo kwa kutugawa watanzania, tunaanza kushambuliana kwenye mitandao, tumetoka kwenye msiba, wanaturudisha msiba mwengine. Hayari Magufuli ni kipenzi cha watanzania wengi kwahivyo wanasiasa msitugawanye

Natoa Rai kwa wanasiasa wanaohubiri siasa ya chuki waache ili tuendeleze Taifa letu'' Alimaliza Askofu Konki huku akishangiliwa kwa nguvu na hadhira iliyohudhuria na Rais Samia kumpigia makofi
 
Askofu wa bangi huyo, yaliyopita si ndwele tugange yajayo, VIVA MAMA SAMIA SULUHU VIVAAA.
 
''Nimeona kwenye mitandao ya jamii baadhi ya wanasiasa wakimsifia mama Samia, Rais wa sasa na kutoa kashfa juu ya utendaji wa Rais aliepita, Magufuli. Hii ni kuonyesha namna ya kujipendekeza ili waangaliwe katika nafasi fulani fulani ya uteuzi tena nasema ni unafki mbaya sana.
Kwa kauli hii, Askofu huyu anamaanisha kwamba hata Mama Samia anapenda watu wamkashifu hayati JPM, ndio maana wanajitokeza wanasiasa wanaomfurahisha awateue
 
Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja na itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa.
 
Mwinyi na Majaliwa nyota ya jaha imeendelea kuwa angazia. Askofu Konki anafikisha viwango vyote vya waitwao wademkaji.
 
Askofu wa bangi huyo, yaliyopita si ndwele tugange yajayo, VIVA MAMA SAMIA SULUHU VIVAAA.

Mtu ameongea na hadhira yote wamekubali na kupiga makofi wewe pekeako una kataa.

Angalia tena hilotukio utajikuta wewe ndio bangi.
 
Askofu mkuu wa kanisa la Pentekoste Tanzania na mwenyekiti wa baraza la makanisa ya kipentekoste Tanzania, Peter Konki amewasilisha mada ya umoja na mshikamano katika kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya hayati John Magufuli ambalo Rais Samia Suluhu alikuwa Mgeni Rasmi



Askofu Peter amesema;

''Nimeona kwenye mitandao ya jamii baadhi ya wanasiasa wakimsifia mama Samia, Rais wa sasa na kutoa kashfa juu ya utendaji wa Rais aliepita, Magufuli. Hii ni kuonyesha namna ya kujipendekeza ili waangaliwe katika nafasi fulani fulani ya uteuzi tena nasema ni unafki mbaya sana.

Watu hawa wanafanya hivyo kwa kutugawa watanzania, tunaanza kushambuliana kwenye mitandao, tumetoka kwenye msiba, wanaturudisha msiba mwengine. Hayari Magufuli ni kipenzi cha watanzania wengi kwahivyo wanasiasa msitugawanye

Natoa Rai kwa wanasiasa wanaohubiri siasa ya chuki waache ili tuendeleze Taifa letu'' Alimaliza Askofu Konki huku akishangiliwa kwa nguvu na hadhira iliyohudhuria na Rais Samia kumpigia makofi
 
Askofu mkuu wa kanisa la Pentekoste Tanzania na mwenyekiti wa baraza la makanisa ya kipentekoste Tanzania, Peter Konki amewasilisha mada ya umoja na mshikamano katika kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya hayati John Magufuli ambalo Rais Samia Suluhu alikuwa Mgeni Rasmi



Askofu Peter amesema;

''Nimeona kwenye mitandao ya jamii baadhi ya wanasiasa wakimsifia mama Samia, Rais wa sasa na kutoa kashfa juu ya utendaji wa Rais aliepita, Magufuli. Hii ni kuonyesha namna ya kujipendekeza ili waangaliwe katika nafasi fulani fulani ya uteuzi tena nasema ni unafki mbaya sana.

Watu hawa wanafanya hivyo kwa kutugawa watanzania, tunaanza kushambuliana kwenye mitandao, tumetoka kwenye msiba, wanaturudisha msiba mwengine. Hayari Magufuli ni kipenzi cha watanzania wengi kwahivyo wanasiasa msitugawanye

Natoa Rai kwa wanasiasa wanaohubiri siasa ya chuki waache ili tuendeleze Taifa letu'' Alimaliza Askofu Konki huku akishangiliwa kwa nguvu na hadhira iliyohudhuria na Rais Samia kumpigia makofi

No ujumbe tosha kwa Nduguyo, Muongo, February na Nupe
 
Kwani wakati Kiumbe anafikia kupewa "uungu mtu" askofu alikuwa wapi asikemee? Au hakujua viumbe tunapita na historia inabaki? Asitake mifano isiyopendwa itolewe ya walivyosifiwa kina Mao ze Dong (tse Tung) na mwisho wa siku nini kikijiri? Nani hajui wako watu mpaka leo wanamshabikia Adolf Hitler na wako wasiotaka hata kumsikia? Askofu na wapambe wake itutoshe kusema RIP JPM
Kwa kauli hii, Askofu huyu anamaanisha kwamba hata Mama Samia anapenda watu wamkashifu hayati JPM, ndio maana wanajitokeza wanasiasa wanaomfurahisha awateue
wakati
 
Yeye mwenyewe mnafiki. Lini Magufuli aliwahi kuwa kipenzi cha watanzania wote?
 
Duu! Hilo neno "Konki" kuna kipindi lilibamba sana kitaa, likibeba maana ya mtu gangwe, mkorofi ama aliyeshindikana. Lilishadadiwa sana na msanii wa Bongo fleva Dudu Baya akijinasibu kuwa yeye ni "Konki Master"

Lakini sidhani kama huyu mtumishi wa Mungu kwa kupitia jina hilo ana vinasaba vinavyoendana na ukonki kwa lugha ya kitaa. Bila shaka kondoo wa Bwana wapo salama ktk mikono yake.
 
Back
Top Bottom