uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Askofu Maximilian Machumu akiwa miongoni mwa aliyeshiriki mkutano wa Temeke kupingwa uuzwaji wa bandari za nchi kwa waarabu maisha yake yapo hatarini
Baada ya mkutano wa juzi watu wasiojulikana walimfuata kwake Kibaha hawakumkuta, Walipomkosa walienda ofisini kwake kuvunja mipango na madirisha ila hawakumkuta
....
Dr.slaa
My take
Watanganyika tuamke, kama hadi viongozi wa dini wanatishiwa maisha vipi kwa sisi wananchi wa kawaida?
Maisha ya askofu kuwa hatarini kwasababu ya kupinga bandari kuuzwa sio inshara nzuri
Taifa litaanguka
Serikali isianze kuharibu amani ya nchi ilyojengwa na Nyerere
Baada ya mkutano wa juzi watu wasiojulikana walimfuata kwake Kibaha hawakumkuta, Walipomkosa walienda ofisini kwake kuvunja mipango na madirisha ila hawakumkuta
....
Dr.slaa
My take
Watanganyika tuamke, kama hadi viongozi wa dini wanatishiwa maisha vipi kwa sisi wananchi wa kawaida?
Maisha ya askofu kuwa hatarini kwasababu ya kupinga bandari kuuzwa sio inshara nzuri
Taifa litaanguka
Serikali isianze kuharibu amani ya nchi ilyojengwa na Nyerere