Tetesi: Askofu Maximilian Machumu anatishiwa maisha kutokana na kupinga bandari kuuzwa kwa Waarabu

Tetesi: Askofu Maximilian Machumu anatishiwa maisha kutokana na kupinga bandari kuuzwa kwa Waarabu

Kwer huu bilakukosea ndio ule msemo wa waraka wa Amani unaporomoka
 
Askofu Maximilian Machumu akiwa miongoni mwa aliyeshiriki mkutano wa Temeke kupingwa uuzwaji wa bandari za nchi kwa waarabu maisha yake yapo hatarini

Baada ya mkutano wa juzi watu wasiojulikana walimfuata kwake Kibaha hawakumkuta, Walipomkosa walienda ofisini kwake kuvunja mipango na madirisha ila hawakumkuta
....
Dr.slaa


My take

Watanganyika tuamke, kama hadi viongozi wa dini wanatishiwa maisha vipi kwa sisi wananchi wa kawaida?

Maisha ya askofu kuwa hatarini kwasababu ya kupinga bandari kuuzwa sio inshara nzuri
Taifa litaanguka

Serikali isianze kuharibu amani ya nchi ilyojengwa na Nyerere
Duuuu! Bandari ipi hiyo inauzwa kwa Waarabu?
 
Hizi sarakasi mie sizielew mara kupinga bandari kuuzwa kwa muarabu mara mwarabu sio mbaya vipengele vya mkataba virekebishwe Jamani kwani tatizo ni mkataba urekebishwe au mwarabu hatakiwi
Kwa hadaa waliofanya hawa warabu hawatufai. Wana kila sifa ya udhulumati
 
DP World kachachamaa huko anataka arudishiwe bilioni 100 yake aliyotoa kama kilainishi kwani ameogopa mwamko wa Wazalendo,ndiyo fujo zote hizi.
 
Hao wapuuzi iko siku watajichanganya wasipopategemea kile watakachokutana nacho baada ya kuitwa wezi watajifunza adabu.
 
Mkuu hii ishu ya dubai ni kubwa mno serikali ishaamua na wananchi watazoea tuu yani hii ni deal kubwa pande zote mbili hamna urithi uliouzwa mkuu mamlaka na bandari zote zipo chini ya TPA kupitia Ports Act na.166. wewe acha hisia bahari ya hindi inakaribia kupoteza Ukuu. Trans Atlantic ocean Trade inarudi kupitia Angola. Angola anajenga reli mpaka zambia na Congo hizo nchi zinaunganishwa Na Lobito Port.

Wateja wetu wakubwa ni shaba za zambia na madini ya congo. Unafikiri bandari ya DSM inataka nini zaidi ya technology na connection. Kiukweli dpw hawauziwi Nchi ila tukikosa hii Deal tumeumia . The Word is changing kama wachina walivyokuja na hela zao tukawakubali kwanini tukatae hao waarabu wamekuja na hela zao
 
Wahuniiiii hao mwambieni atembee na bastola yake wakitokea afe yeye au wao
 
Ana u-special gani mpaka atishiwe? Yaani mtu Kala zake viporo huko halafu anakuja kuleta Kiki za kishamba hapa.
Kuwa na akili basi bwashee, hata kwa Ben Sanane mlisema hivi hivi, kuwa basi muelewa kwani ukiwa chawa ni lazima kila kitu upinge wakati hata uwezo wa kufikiri kwako unaona kabisa ni mdogo
 
Kuwa na akili basi bwashee, hata kwa Ben Sanane mlisema hivi hivi, kuwa basi muelewa kwani ukiwa chawa ni lazima kila kitu upinge wakati hata uwezo wa kufikiri kwako unaona kabisa ni mdogo
Kwa hiyo na huyo askofu Naye katukana degree za magufuli?
 
Uaskofu siku hizi umeshuka hadhi Kila mtu anajiita askofu
 
Back
Top Bottom