ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kwenye wimbo wa nipeni maua yangu wa msanii Roma kuna mstari unasema hivi: Askofu mfufua wafu anaiba kura za mpinzani atashindwaje kuiba sadaka za waumini kanisani.
Mchungaji akitaka gari twamchangia muumini akitaka gari twamuombea, basi mchungaji tusimpe sadaka tuombee tukae pale tushuhudie miujiza ya wagalatia.
Huu msitari ulikuwa unamlenga nani?
Mchungaji akitaka gari twamchangia muumini akitaka gari twamuombea, basi mchungaji tusimpe sadaka tuombee tukae pale tushuhudie miujiza ya wagalatia.
Huu msitari ulikuwa unamlenga nani?