TANZIA Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania, Joseph Bundala ajinyonga kisa madeni, mgogoro

Jana nimeiona taarifaa hiyo... Kwa TV.

Kisha nikavuta kumbukumbu hapa jamii forum's miaka ya 2009.. kama sikoseii..


Kuna member mmoja alileta Uzi wa kujitoa uhai kwa njia tofauti tofautii....

Kifo hakina huruma..
 
Kwa kuwa alikuwa askofu Mkuu..!!

Basi Wacha tunukuu vifungu vya biblia...

Je, Yuda iskarioti. Alikufajee..???

Mathews/Mathayo 27:3-10.

"Yuda alipata kujinyonga"

Acts of apostles/Matendo ya mitume 1:15-20.
.

"Yuda alipata kuanguka na tumbo/utumbo lake likapasukaa".




Gossip kama moja ya unification of humankind...


Wadaku/uvumi usio na uthibitisho unadai bwana yule Kutoka nigeria alijnyonga baada ya kuona mambo Sasa yanakuwq wazi juu ya kazi zake-Tb Joshua..
 
Madeni sio sababu.
Nadaiwa
Branch 297,000
Mpawa 75,000
Nipigie tafu 9,000
Songesha,170,000
Ile songesha ya tigo 252,000
DAWASCO 145,000
Mchepuko anadai kodi ya kuanzia Juni .
Isingekua luku tanesco wangehusika.
Huku uraiani usiseme.
Hata chembe ya stress Sina.
 
Kwa hiyo kajinyonga kwa waya wa simu au kajinyonga kwa kamba? Hebu tuwekane sawa kidogo ndugu yangu.

Ova
 
Pole sana Mkuu, naona madeni yako mengi ni kutoka Kampuni za simu πŸ™Œ

Ni kweli wengi wetu tuna madeni lakini kama asemavyo Daktari bingwa wa Uchumi wa Nchi yetu (Dr Mwigulu Nchemba) kwamba ni madeni himilivu

Binafsi nina zaidi ya milioni 179 nadaiwa lakini bado nadunda tu 😜

Haya maisha sio ya kuya-complicate
 
Nimeipenda hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…