TANZIA Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania, Joseph Bundala ajinyonga kisa madeni, mgogoro

Aweke picha ya mwamposa Kwenye wallet
 
Sijasikia Shehe kajinyonga aisee ila kwa kuwa wote ni binadamu wala hakuna kushangaa
Binadamu anafanya mambo zaidi ya wanyama
 
Kwa hiyo Askofu alipanda kwenye nguzo ya simu za TTCL kisha akakata waya wa unaomtosha kujinyonga, kisha akaingia nao ofisini kwake?

Ova
Kaka, umezaliwawapi? Simu za TTCL za mezani zinaunganishwa na waya mgumu Sana hata kuvutia gari unaweza. Yaani Ni Kama waya wa pasi au birika la umeme.
 
Sijasikia Shehe kajinyonga aisee ila kwa kuwa wote ni binadamu wala hakuna kushangaa
Binadamu anafanya mambo zaidi ya wanyama
Utendaji wa masheikh siyo wa kitaasisi. mtu anweza akaamua nyumba yake uwe msikiti na sala ikaenda.
Maaskofu (ukiacha akina Gwajima, self proclaimed Bishops) wa madhehebu Hawa ni taasisi, zinakuwa na bussiness nyingi kupelekea mtu kuwa engaged katika madeni kuziendesha and many more
 
Kwa nn serikali isiwe na kitengo cha counselling amd guidance ? Hiki kitengo wanachukulia kwa watu weny magonjwa ila ishu ya mawazo na wasiwasi ipo kwa sana .

Taarifa za kujinyonga kwa jinsia ''ME'' zimerindima sana kama sijakosea huko Geita mwingine alitoka hospital alipokuwa kalazwa akajinyonga , Viongozi wawili wa dini nao hivyo hivyo .. Huko Arush kuwa wawili wanawake wamejinyonga kuhusishwa kudaiwa kweny vikoba.
 
Nimekupata mkuu
Ila kujiua aisee ni jambo baya sana bora angekimbia nchi wakasema katoroka

Hebu nisaidie hapo mbona wanasema sadaka ni nyingi sana mpaka mishahara ya watu inakatwa juu kwa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…