Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waite wote hawa wafuasi wa mwendazake
Wangepinga kwenye mahakama zile za jiwe? Waliacha kumwonesha alivyo mjinga yule bwegeLakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Kwani watu wote waliisikia habari hii?Ya wiki 2 zilizopita lkn Mkuu, umechelewa kupata habari
Hakuna aliyesjisumbua.Kesi ya nyani apewe tumbiliLakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Lakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Kwa ufahamu wako, ni Mahakama ipi ingebatilisha ushindi wa wabunge wa Magufuri?.Lakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Mkuu Tindo, wewe binafsi hukusikia?Kwani watu wote waliisikia habari hii?
Katika wote waligombea nafasi za ubunge kupitia CCM, robo tatu yao ni wale ambao hawakuchaguliwa na wajumbe. Marehemu aliwakata washindi, akawapachika watu wake. Walioshinda na wajumbe waliowapigia, ni miongoni mwa wa watakaokuwa wanalaani uongozi wa marehemu hata ndani ya chama.Ule ulikua upolaji wa kura na sio wizi.wapinzani walitakiwa wasishiriki kwenye uchaguzi ule.maana ccm walianza kupolana wenyewe mapemaa...
Maana tumeona kuanzia kwenye kura za chama za ndani.anashinda mwingine lakini anawekwa mwingine.c ndio maana unaona hata kina kimei wanaona aibu kujitokeza.
Kwasabu ya kuwekwa bila ya kupendwa na wananchi.
Mkuu Tindo, wewe binafsi hukusikia?