Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Sikiliza mchango wa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki, akieleza mambo machafu yaliyofanywa na utawala wa awamu ya 5 kupora haki ya wananchi kupata viongozi wanaowataka.
Mahakama ilishiriki pamoja na vyombo vingine.Utawapelekeaje majaji wa Magufuli kesi za Magufuli? Utakuwa na akili kweli?
Urais, Mahera akishatangaza basi hakuna kupinga. Ndivyo ilivyo katiba wapendayo CCM.
Tulishirikia kwa sababu kama vile vyombo nyeti visingeisaidia ccm basi ushindi ulikuwa nje nje. Sio mbwe za Mahera wala za MaDED zingefanikiwaUle ulikua upolaji wa kura na sio wizi.wapinzani walitakiwa wasishiriki kwenye uchaguzi ule.maana ccm walianza kupolana wenyewe mapemaa...
Maana tumeona kuanzia kwenye kura za chama za ndani.anashinda mwingine lakini anawekwa mwingine.c ndio maana unaona hata kina kimei wanaona aibu kujitokeza.
Kwasabu ya kuwekwa bila ya kupendwa na wananchi.
Akina Siyani na Kina Tiganga. Hapo hapo mwenyekiti wa Tume eti anaitwa Jaji🤣🤣Hawakwenda mahakamani kwa sababu wakati wa dikteta, hakuna chombo kilichokuwa kinafanya kazi kwa weledi.
Huko ccm na lumumba kuna viroboto( In Nape's voice) wanadai eti walishinda🤣🤣🤣Ni aibu kuita uchafuzi wa 2020 uchaguzi
Naona sera yenu kwa sasa ni kumsema ipasavyo marehemu
Hoja yako imeshinda hoja za wengine wote. Uchaguzi wa 2020 hauna tatizo na JPM hakuongoza kupora uchaguzi wa 2020. Mkuu umeshinda.Lakini hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga matokeo ya uchaguzi. Hata Mbowe hajapinga matokeo
Yale matendo aliyotenda mlikuwa mnamshangilia sasa bebeni huo mzigo.Naona sera yenu kwa sasa ni kumsema ipasavyo marehemu
Jamaa mbishi. Nadhani ni mgumu kuelewa.Mimi sio watu wote boss. Au hii jf ni kwa ajili yangu tu hivyo nikishasikia basi?
Halafu waanikaji ni wengi kuliko wanaojibu. Kuna baadhi wameanza kuelewa ukweli wa uozo wa Awamu hiyo, wabishi wachache tu ndo wamebaki, nao kwa aibu.Ligasi gang mtajibu mpaka mchoke. Ya kuanikwa ni mengi
Alijua akifika anapewa cheo cha kiranja wa malaika ila kwa sasa nahisi kafikia rockup kwanza kujipumzisha. Haya makombora hata huyo mkuu huko lazima amkane 😀😀Mwendazake anazidi kupokea mishale kutoka kwa viongozi wa dini tena wakatoliki wenzake. Aione Wakudadavuwa
Askofu mnafiki tu