Askofu Mwamakula ampongeza Freeman Mbowe kwa kutangaza hadharani kwamba Kaka yake kafa kwa Corona

Askofu Mwamakula ampongeza Freeman Mbowe kwa kutangaza hadharani kwamba Kaka yake kafa kwa Corona

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe, kuwa ni COVID 19, huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano, Mh Mbowe ameamua kuweka wazi jambo hili ili kuweka ushuhuda wa uwepo wa Corona nchini Tanzania.

Mbowe sasa rasmi ni Mandela wa Tanzania, Mzee Mandela kwenye Mazishi ya mwanae hakuficha ugonjwa uliomuua kijana wake, alitangaza hadharani kwamba mwanae alikufa kwa UKIMWI.

Mwanmakula.PNG
 
Ujinga wa kiwango cha lami. So Mbowe anahisi kutangaza ugonjwa uliopelekea kifo cha kaka yake ni ukomavu kisiasa? Faragha ya marehemu ipo wapi?

Kwa nini hakusema hayo wakati anaumwa ili watu wakae mbali na huyo kaka yake? Aliogopa nini kutangaza hadharani marehemu akiwa hai?

Kwanini Mbowe alijidunga chanjo peke yake na akamuacha ndugu yake bila chanjo? Na kama alichanjwa, je tuendelee kuziamini hizo chanjo?
 
Wewe ndiye mjinga unayedhani kuwa chanjo ina uwezo wa kuprotect 100%.
Ujinga wa kiwango cha lami. So Mbowe anahisi kutangaza ugonjwa uliopelekea kifo cha kaka yake ni ukomavu kisiasa? Faragha ya marehemu ipo wapi? Kwa nini hakusema hayo wakati anaumwa ili watu wakae mbali na huyo kaka yake? Aliogopa nini kutangaza hadharani marehemu akiwa hai? Kwanini Mbowe alijidunga chanjo peke yake na akamuacha ndugu yake bila chanjo? Na kama alichanjwa, je tuendelee kuziamini hizo chanjo?
 
Ujinga wa kiwango cha lami. So Mbowe anahisi kutangaza ugonjwa uliopelekea kifo cha kaka yake ni ukomavu kisiasa? Faragha ya marehemu ipo wapi? Kwa nini hakusema hayo wakati anaumwa ili watu wakae mbali na huyo kaka yake? Aliogopa nini kutangaza hadharani marehemu akiwa hai? Kwanini Mbowe alijidunga chanjo peke yake na akamuacha ndugu yake bila chanjo? Na kama alichanjwa, je tuendelee kuziamini hizo chanjo?
Wimbi la 3 huombi hata maji ya kunywa, unaambiwa Mbowe kashitukia taarifa ya msiba tu, angetangazia wapi ugonjwa? Tuchukue tahadhari jamani tuache ubishi.
 
Nyie agents of imperialism. You will seize any chance to perform tasks for your masters. Hiyo covid 19 ni homa to mnatisha watu ili bwana zenu mabeberu wa corona watimize malengo yao.
 
Hongera na Kongole kwake mh.Freeman Mbowe 👍👍👍

Tuko katika MAPAMBANO DHIDI YA CORONA.

Hili litushajiishe UTAYARI WA KUIKUBALI CHANJO DHIDI YA UVIKO pale itakapopokelewa na serikali yetu adhimu inayojali uhai na maslahi ya watanzania wote.

#KaziIendelee
#Mh.RaisSSHHoyeeeee
 
Nyie agents of imperialism. You will seize any chance to perform tasks for your masters. Hiyo covid 19 ni homa to mnatisha watu ili bwana zenu mabeberu wa corona watimize malengo yao.
Wabishi wakubwa Nkulunzinza na mwendazake wako wapi leo, je unayefuatia ni wewe?
 
Mh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano , Mh Mbowe ameamua kuweka wazi jambo hili ili kuweka ushuhuda wa uwepo wa Corona nchini Tanzania...
Nyie Chadema mna akina Mandela wangapi mdude Mandela Lisu Mandela na Mbowe naye ni Mandela ujinga huu sijui mnautoa wapi yaani kiukweli mwenyekiti wenu hamnazo kabisa kila kitu anataka ziwe kiki za kisiasa ujinga mtupu huyu mzee ukimwangalia kabisa yuko Cachetic
 
Back
Top Bottom