Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
ukimwi siku hizi hauuiWimbi la 3 huombi hata maji ya kunywa , unaambiwa Mbowe kashitukia taarifa ya msiba tu , angetangazia wapi ugonjwa ? tuchukue tahadhari jamani tuache ubishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukimwi siku hizi hauuiWimbi la 3 huombi hata maji ya kunywa , unaambiwa Mbowe kashitukia taarifa ya msiba tu , angetangazia wapi ugonjwa ? tuchukue tahadhari jamani tuache ubishi
Hakuna Corona ndio wewe ingekuua kila siku unagombania daladalaKuna mjinga mmoja alikuwa anasema hakuna corona Tanzania. Mwishoe ikampeleka...
Yeye Mbowe mbona hajitangazi kwamba ana ukimwiMh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano...
Sio kuchanja tu si unaona hapo anasema wimbi la 3 mtu haombi maji, hata huyo yeye kashtukia msiba tu wa kakayake hakujua hata Kama anaumwa yaani yaani kaanguka ghafla tu safari tayari.Kwa hiyo kaka yake hakuchanja?
umeandika vitu vingi mno ! unataka nini ?Sio kuchanja tu si unaona hapo anasema wimbi la 3 mtu haombi maji, hata huyo yeye kashtukia msiba tu wa kakayake hakujua hata Kama anaumwa yaani yaani kaanguka ghafla tu safari tayari...
Corona iweke kambi kwenye Familia ya Mbowe imeanza na kaka mtu tunaomba is huge kidogo na kwa mdogo mtu tuondokewe na hili dubashaSio kuchanja tu si unaona hapo anasema wimbi la 3 mtu haombi maji, hata huyo yeye kashtukia msiba tu wa kakayake hakujua hata Kama anaumwa yaani yaani kaanguka ghafla tu safari tayari...
We jamaa unampenda sana mbowe,, au we ndo mbowe mwenyewe?Mh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano , Mh Mbowe ameamua kuweka wazi jambo hili ili kuweka ushuhuda wa uwepo wa Corona nchini Tanzania .
Mbowe sasa rasmi ni Mandela wa Tanzania , Mzee Mandela kwenye Mazishi ya mwanae hakuficha ugonjwa uliomuua kijana wake , alitangaza hadharani kwamba mwanae alikufa kwa UKIMWI .
View attachment 1846309
Kufa kabisa wewe MATAGA kama Yule Mungu wenu mbishi mpaka ikamlamba Covid 19Nyie agents of imperialism. You will seize any chance to perform tasks for your masters. Hiyo covid 19 ni homa to mnatisha watu ili bwana zenu mabeberu wa corona watimize malengo yao.
Kapiga chanjoTahadhari zote zinachukuliwa
Wanadhani ukificha ndio atakufa. Maccm bwanaMh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfan...
Hizi ni donor funded projectsMh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano...
Mandela anayekimbilia DubaiMh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano...
weka ushahidi hata wa uongo basiHizi ni donor funded projects
Hapo Kuna kunji limeingia
pole kijana kwa maumivuMandela anayekimbilia Dubai
Hebu msinajisi serious African leaders na hawa wasanii waandamizi
Kule Iringa maboso ni mapovu yanayokuwa juu ya mbeta ya ulanzi yanaenguliwa na kutupwa.Na kweli mie ni mjinga, hivyo nielewesheni hiyo chanjo kazi yake ni nini ili niutoe ujinga
Kwa hiyo unataka kusema Marehemu hakuchukua tahadhari ndiyo maana amekufa kwa Corona!?Wimbi la 3 huombi hata maji ya kunywa , unaambiwa Mbowe kashitukia taarifa ya msiba tu , angetangazia wapi ugonjwa ? tuchukue tahadhari jamani tuache ubishi
Jina la mchangiaji halisusiani na uzi huuKule Iringa maboso ni mapovu yanayokuwa juu ya mbeta ya ulanzi yanaenguliwa na kutupwa...
Amekuuliza chanjo ya Covid inazuia nini? Maana kama mtu kachanjwa hiyo chanjo na huo ugonjwa kapata nini faida ya hiyo chanjo?Kule Iringa maboso ni mapovu yanayokuwa juu ya mbeta ya ulanzi yanaenguliwa na kutupwa...