Askofu Mwamakula ampongeza Freeman Mbowe kwa kutangaza hadharani kwamba Kaka yake kafa kwa Corona

Amekuuliza chanjo ya Covid inazuia nini? Maana kama mtu kachanjwa hiyo chanjo na huo ugonjwa kapata nini faida ya hiyo chanjo?
Jibu ni kwamba hakuna chanjo duniani ambayo imethibitika kuzuia magonjwa kwa asilimia 100 Ila 99% inazuia maambukizi hiyo 1% inakuwepo sababu ya reaction ya dawa hutegemea pia mtu na mtu.

Sasa faida yake ni kwamba chances of survival ni kubwa kushinda kifo. Achague mwenyewe chanjo ni optional kwa TZ.
 
Watu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemelezi
 
Watu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemelezi
It might be both, maana kama ni Kaka kwa Freeman hapo unaongelea 60 plus, kwa umri huo lazima kuwa na magonjwa nyemelezi tu sasa ngoma ikikupiga ndio unabadilika jina fasta
 
Watu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemelezi
Kikubwa ni kuchukua tahadhari
 
Kutangaza kuwa ndugu yake amekufa kwa uviko hakuhisiani na siasa, ni vizuri ili watu wachukue tahadhari na hata wanaokuja kwenye maziko wachukue tahadhari, maana familia nyingi zimekuwa zikifanya Siri lkn mwisho wa yote baada ya maziko waombolezaje wanaanza kuumwa na kufa kwa mpigo. Tuchukue taadhari na kila mmoja angeiga mfn huu maambukizi yangepungua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…