Jibu ni kwamba hakuna chanjo duniani ambayo imethibitika kuzuia magonjwa kwa asilimia 100 Ila 99% inazuia maambukizi hiyo 1% inakuwepo sababu ya reaction ya dawa hutegemea pia mtu na mtu.Amekuuliza chanjo ya Covid inazuia nini? Maana kama mtu kachanjwa hiyo chanjo na huo ugonjwa kapata nini faida ya hiyo chanjo?
Ila nimempatia ushauri huyu maboso😃😃😃😃Jina la mchangiaji halisusiani na uzi huu
Watu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemeleziMh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe , kuwa ni COVID 19 , huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano , Mh Mbowe ameamua kuweka wazi jambo hili ili kuweka ushuhuda wa uwepo wa Corona nchini Tanzania...
It might be both, maana kama ni Kaka kwa Freeman hapo unaongelea 60 plus, kwa umri huo lazima kuwa na magonjwa nyemelezi tu sasa ngoma ikikupiga ndio unabadilika jina fastaWatu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemelezi
Kikubwa ni kuchukua tahadhariWatu wenye umri mkubwa na magonjwa nyemelezi ndio wapo kwenye risk kubwa ya kupata covid 19 , sasa hii sijui ni umri mkubwa au nyemelezi
Acha tu ,sio kitu Cha kubeza.Kuna mjinga mmoja alikuwa anasema hakuna corona Tanzania. Mwishoe ikampeleka.
Mungu atusaidie, mradi kuchukua tahadhari.Sasa huyo Mbowe aache kuzunguka huko anakozunguka!
Kutangaza kuwa ndugu yake amekufa kwa uviko hakuhisiani na siasa, ni vizuri ili watu wachukue tahadhari na hata wanaokuja kwenye maziko wachukue tahadhari, maana familia nyingi zimekuwa zikifanya Siri lkn mwisho wa yote baada ya maziko waombolezaje wanaanza kuumwa na kufa kwa mpigo. Tuchukue taadhari na kila mmoja angeiga mfn huu maambukizi yangepungua sana.Ujinga wa kiwango cha lami. So Mbowe anahisi kutangaza ugonjwa uliopelekea kifo cha kaka yake ni ukomavu kisiasa? Faragha ya marehemu ipo wapi?
Kwa nini hakusema hayo wakati anaumwa ili watu wakae mbali na huyo kaka yake? Aliogopa nini kutangaza hadharani marehemu akiwa hai?
Kwanini Mbowe alijidunga chanjo peke yake na akamuacha ndugu yake bila chanjo? Na kama alichanjwa, je tuendelee kuziamini hizo chanjo?