ASKOFU Mwamakula atia neno kuhusu kuchaguliwa kwa Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

ASKOFU Mwamakula atia neno kuhusu kuchaguliwa kwa Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Kipanya ni Noma ! Kwenye kibanda kuna kitu kinapikwa moto ni mkali kweri kweri !
Huku jamaa na gwanda lake ameshamaliza kazi yake ya kuchimba !
Halafu pale kwenye yale mashimo mawili yaliyochimbwa kila shimo kumewekwa Cross moja !
Kisha katika zile Cross hazijaelekea upande mmoja!
Kwenye shimo moja Cross imewekwa kwa mbele ya shimo au nyuma ya shimo !
Na kwenye shimo la pili Cross imewekwa ubavuni !
1736663437258.jpg
 
Kipanya ni Noma ! Kwenye kibanda kuna kitu kinapikwa moto ni mkali kweri kweri !
Huku jamaa na gwanda lake ameshamaliza kazi yake ya kuchimba !
Halafu pale kwenye yale mashimo mawili yaliyochimbwa kila shimo kumewekwa Cross moja !
Kisha katika zile Cross hazijaelekea upande mmoja!
Kwenye shimo moja Cross imewekwa kwa mbele ya shimo au nyuma ya shimo !
Na kwenye shimo la pili Cross imewekwa ubavuni !
Dah, Sasa ndugu yetu mbona unaishia kutuambia tunachokiona hata sisi?!!!!!! Mi nilifikiri ungejikita kwenye kusuggest tafsiri yake.
 
Karibu uhudumiwe.. Kwetu mteja ni malkia na ni mfalme
Halafu ulimsikiliza Mzee Pinda alipoitwa atoe neno baada ya Wassira kuchaguliwa ??
Pamoja na maneno mazuri aliyoyatoa vikiwemo na codes ndogo ndogo ndani yake alimalizia na code moja imenifanya nifikirie sana !
Alisema hivyo ndivyo wenye Chama walivyoamua 🙄 na wenye Chama ndio sisi ! Akaulizia au nimekosea 🤣🤣😅 !
Sisi tuliosomea Cuba huwa tunanasa harufu ya Codes hata kama mwenye kuhusika wala hakuwa na maana hiyo 😂😂😂 !
Tatizo ni kwamba sisi wengine tumeumbwa na Suspicions mind ! 🤣😄😅 !
Mutusamehe bure tu Bandugu 🙏🙏🙏
 
Uchambuzi toka kwa askofu asiye na waumini.na kanisa lake liko kusikojulikana alijishonea nguo xa kiaskofu na kujivalisha mwenyewe
Huyo jamaa kichwa yake ilibaribika early 90s akiwa sekondari
 
Back
Top Bottom