Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 739
Na kwa uoga huo huo wakae kimya wanapodhughulikiwa na Mtawala.Mayila: Watu wasipojitokeza kwa hofu utafanyaje?
Askofu Mwamakula: Tuna imani kuwa watu watajitokeza kwa wingi sana!................
Sasa hiyo imani ya kwamba watu watajitokeza kaijenga kwa msingi upi maana kama watu waliogopa kujitokeza kwenye yale maandamano ya Lissu ndio hawatoogopa kujitokeza kwenye hayo matembezi endapo jeshi la polisi itakataza?