Na kwa uoga huo huo wakae kimya wanapodhughulikiwa na Mtawala.Mayila: Watu wasipojitokeza kwa hofu utafanyaje?
Askofu Mwamakula: Tuna imani kuwa watu watajitokeza kwa wingi sana!................
Sasa hiyo imani ya kwamba watu watajitokeza kaijenga kwa msingi upi maana kama watu waliogopa kujitokeza kwenye yale maandamano ya Lissu ndio hawatoogopa kujitokeza kwenye hayo matembezi endapo jeshi la polisi itakataza?
Lakini wakishughulikiwa na mtawala ni rahisi kulalamika hahahahaaaa acha nicheke tu.Kwa watanzania si rahisi kujitokeza...... he needs another strategy, not this one!
Mimi raia kama wewe sasa kama wewe huna jibu la hilo swali unadhani mie ndio nitakuwa na hilo jibu?
Nadhani hapa cha muhimu ni kuacha uoga muingie mtaani kudai haki zenu bila kuhofia polisi maana hakuna siku ambayo jeshi la polisi litawaachia tu muingie barabarani na kuda kudai haki zenu.
Umeona eh!Lakini wakishughulikiwa na mtawala ni rahisi kulalamika hahahahaaaa acha nicheke tu.
Sijaelewa, kudai katiba mpya lazima watu wapigwe ndio waipate?
Halafu huku mtaani sisikii watu kuyazungumzia hayo matembezi zaidi ya huku mitandaoni tu,kwa Lissu pia ilikuwa kama hivi.Hivi mbona hayo maandamano au matembezi hayafanyiki kila siku ni stori tu? Ni lini hasa yatafanyika?
Dhambi huwezi kuichunguza kwa mtu mmoja mmoja ila mwenendo wa serikali unaweza kuchunguzika vyema💉Haogopi Corona?
Dhambi zimeshaisha kwa kondoo wake mpaka aingilie masuala ya serikali?
kama umemuelewa vizuri Yuko tayari hata kutembea peke yakeKwa watanzania si rahisi kujitokeza...... he needs another strategy, not this one!
wewe na wenzako watano humu jamiiforums,mkijumuisha na mashangazi wawili wa taifa mnatosha kabisa kufikisha ujumbe mkiungana na huyo baba askofu.Kwa watanzania si rahisi kujitokeza...... he needs another strategy, not this one!
huyu mzee anatafutia watu sababu wamtengue kiuno tu.Mayila: Lakini kwa nini usiombe kibari?
Askofu Mwamakula: Huwezi kumuomba kibari mtu ambaye unataka kufanya jambo la kugusa masilahi yake akakukubalia! Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya ni mwiba kwa watawala na hivyo hawapendi hata kuvisikia! Lakini kwa raia hiyo ni haki yao na haki haiombwi!
Kwahiyo mkuu hapa tunazungumzia suala la watu kudai haki yao hivyo hata ikilazimu kupigwa ama kupigana ni sawa ili haki ipatikane.
anajiandaa bado.Hivi mbona hayo maandamano au matembezi hayafanyiki kila siku ni stori tu? Ni lini hasa yatafanyika?
kama maisha yako tu yanakuchanganya,utaweza kuelewa mwenendo wa serikali kweli!!!Dhambi huwezi kuichunguza kwa mtu mmoja mmoja ila mwenendo wa serikali unaweza kuchunguzika vyema[emoji382]
Hako kaaskofu hakajielewi.Askofu wa Chadema anataka kufanya mikusanyiko,aogopi Covid kama wafuasi wenzie wa Chadema wanavyoogopa!?