Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Hili lina uhusiano na Sakata la Bandari. Tumeambiwa Waarabu wamewahonga viongozi wetu Fedha na Majumba.

Kumbe DPW hawakuishia hapo, wamehonga mpaka nyumba za Ibada. Huenda baada ya taarifa hii tutasikia hao Waarabu wamehonga kitu gani kingine.

Nadhani sasa ni vizuri tukamuacha Muarabu anayetuhumiwa ajisafishe mwenyewe.

Sisi Wabongo kupambana kumsafisha DPW inaashiria kwamba ni yeye anayepambana lakini kupitia mifukoni mwetu.

Binafsi nampenda sana mama lakini bado tunao wajibu wa kumsaidia kuujua ukweli kwamba HARUFU mbaya imeenea Mijini na Vijijini, Misikitini na Makanisani, vijiweni na kwenye Clubs za starehe, kwenye vyombo vya usafiri na Maofisini.

Tumsaidie mama kwa kumwambia ukweli
 
Hela chafu lazima tuzikemee kwa nguvu zote. Waislamu ni ndugu zetu
 
Aya tumekuelewa
 
Siyo mbaya dpworld wakatujengea na kanisa

Ova
 
Nilishasema mwanzo hili suala limeingia udini ndani yake, wakristo hawaitaki DP World kwa sababu ya uislam.

Wagalatia wana roho mbaya sana.
Nchi igawanywe Waislam wapewe kipande chao na DP world yao na Wakristu wapewe sehemu yao wapambane wenyewe.

Halafu baada ya miaka 3 tutaona kina nani watakuwa wanazamia kwa wenzao. Tena nyie wawape pwani yote kabisa ili bandari zote na gas na mafuta yawe yenu.

Wengine watatumia bandari ya Mombasa
 
Kwani ni kosa kukuza Imani fulani?
Ndio kwa sababu ni wageni wa watanzania wote.
Kwanini wasijenge mashule na mahospital watoto wote wa Nyerere tufaidi?

Wewe huoni huyo muwekezaji anachofanya kinasababisha watanzania ambao ni wakristo,wapagani,wahindu na wenye imani nyingine waone waislamu ni matakataka?

Hata hivyo nimefurahi wanavyowajengea misikiti badala ya shule mana ajira zenyewe chache.Endeleeni kushinda misikitini mkipigiana story za mabikira 72 ila muache kulalamika eti wakristo ndo wameshika nafasi kubwa nchini.
 
Hili ndo lililokuwa limefichwa, shida sio mkataba wa Bandari, shida hapo ni Uislam
 
Uchafu wao umedhihirika kote walipoenda, Rwanda DP WORLD wanabandari kavu je umesikia migogoro?

Afrika tusipozitumia akili zetu tutazid kupotea. Mpaka sas sina upande wowote sio serikal sio wapinzani, serikali inajing'ata upinzani unapotosha.

Tatizo hili swala linatumia kidini na kisiasa.
 
Nimekuonesha pale juu mfano wa Gaddafi na msikiti wa Dodoma, kwamba hayupo aliyelalamika, kwasababu hizo pesa za ujenzi hazikutoka kwa mchafu.

Lakini Askofu ameonesha vile hao waarabu, ambao ni wachafu tayari, vile watatumia kipato kinachotokana na haramu, kuwajengea msikiti, huu ukweli lazima usemwe.
 
Hii ndio pointi yangu, hao waarabu wameenda kucheza na akili za wajinga na kuwaingiza kwenye kumi na nane zao, ili pakiharibika wapate watetezi, na ndicho kinachotokea.
 
Acha kujitoa akili, umetoa mfano mmoja wa kuwasafisha wakati kuna nchi nyingine zaidi ya kumi wana kesi, huu ndio unafiki wenu nisioupenda, na sichoki kuukemea.
 
Ma Shaa Allah, kama ni hivyo basi ni jambo jema sana hilo.

Walitaka wajenge night club?

Tena wanaanza kuujenga hapa bandarini, kasahau nini Mwamakula? Angoje ataalikwa kula biriani siku ya kuweka jiwe la msingi.
 
Wewe ulikutana nao wapi wakakwambia watajenga shule?
Ni utaratibu kwa mwekezaji kurudisha fadhira kwa jamii.Ni wazi atazid kuzisaidia jamii zaidi ya hapo, mpaka hizo shule, visima, vituo vya afya nk. Lakin kuzuia asijenge misikiti wakati DP WORLD majority ni waislam ni sawa sawa na tuishangae VATICAN kujenga makanisa.

ACHA UDINI TANZANIA INAHITAJI KUJUA MADHAIFU NA MAZURI YA HUU MKATABA
 
Kama ni utaratibu kwanini huyo mwarabu asingesema pale eneo la tukio, kwamba zaidi ya msikiti atajenga shule, na hospitali?

Naona mnajigeuza wasemaji wa waarabu wachafu sasa.
 
Anarudisha au anatoa in advance?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…