Mabeberu hawana akili km za waarabu. Muarabu ni mtu wa ovyo sana na hii ukitaka kujua nenda sehemu ambazo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo. Zanzibar, Tanga, Tabora, Pwani, Lindi, Mtwara, Singida na Shinyanga mjini. Muarabu muislamu atakujengea msikiti na kisima cha kujitawazia.
Beberu Missionary anakujengea kanisa, shule na hospitali.
Panda gari mpaka makuyuni (Arusha), panda gari mpk Karatu mjini kisha panda gari kwenda Mang'ora, shukia barazani. Ni porini haswaa
Utakuta kuna kanisa kubwa la Roman Catholic na hospital. Hatua km mita 200 kuna msikiti wa waislamu mkubwa na kisima cha kujitawazia.
Sikatai kujenga msikiti ila maisha ni zaidi ya msikiti,wajenge hospitali au hata hotel km mwamposa itasaidia kuongeza ajira na vipato vya watu