Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Njia ya kudeal na akina Mwaipopo ni kuwaignore ili ujinga wao ujionyeshe wenyewe. uachie umma udeal nao kwenye tit for tat, ila Askofu wewe inabidi uconcentrate ktk hoja za mkataba ulivyo.
Na mkataba dharimu umepitishwa kwa ujinga kama huu wa kujifanya kupuuza kila kitu.
Leo hii nikienda shule na kofia ya jah people natolewa darasani kwamba siyo uniform ila kuvaa ijabu shuleni ni halali,
 
Mmepewa Chuo cha TANESCO pale Msamvu ( MUM) lakini mmeshindwa hata kukiendeleza.
Serikali imegoma kuwapa chuo gani tena!!??
Si chuo kikuu tu, wewe uliisha sikia wapi Serikali ya Tanzania inaenda negotiate kuhusu nchi wafadhili kutusaidia halafu ikawaambia pia wawasaidie wakiristo!!?? Lakini Serikali ili waruhusu Libya na Morocco kuwasaidia Waislam (Misikiti na misaada mingine (msikiti kinondoni na msikiti wa Gadafi Dodoma).
Tatizo la Hawa Waarabu kila Agenda ya Maendeleo wanayoipeleka hasa hasa katika nchi maskini wanaichanganya na kueneza DINI ya kiislam.
Kwa sasa ni Mwanamfalme wa Saudia tu, na sijui YESU ameamua kuingilia kati kumbafili thinking yake? huyo ameamua kufunga taasisi zote walizoanzisha nje ya Saudia. Ona hii video
 
Hizi habari ni ngumu sana , dini ni kikwazo kingine katika mfumo wa maendeleo ya jamii.
 
IGA kwa kifupi ndio chimbuko la makubaliano mtayoenda kuyafanya mbele ya safari, kwa maana nyingine ni kwamba, huwezi kutoka nje ya mlichokubaliana IGA ukienda kwenye HGA, au niseme, kwa ile IGA sisi tayari tumeshajifunga, hatuwezi tena kutoka nje ya ile IGA bila kukubaliana na mwarabu.

Ndio maana pale chini ya IGA, kuna saini ya Samia na Mbarawa.
Sas kama IGA inanguvu hiv nini umuhimu wa HGA?

Kama maoni yetu hayana athari kweny IGA why IGA imeletwa, yani tunajadili kitu kisichobadilika?
 
Hizi habari ni ngumu sana , dini ni kikwazo kingine katika mfumo wa maendeleo ya jamii.
Umesema kweli hasa hasa Tanzania, na Serikali ingeng'amua hilo na kusimama kidete kutoruhusu influence ya dini yeyote kwenye Serikali na vyama vya siasa. Tanzania itakuwa na Maendeleo ya kubeep beep tu kutokana na kuruhusu dini zituingilie. Hata kwenye u
 
Hata mzungu angeona aibu sana kujenga kanisa pekee.
Ukienda Ndala (Tabora) kijijini kuna kanisa kubwa la Roman na Hospital ila ukienda kwa Mwaarabu kuna msikiti mkubwa na kisima cha kujitawazia.
Tanzania kuna misikiti mingapi? Wanazidiwa akili hata na Mwamposa aliyejenga Hotel?
Huwa natembea Singida mpk inatia huruma, kuna misikiti mikubwa na mizuri sana ila hakuna hospital hata moja iliyojengwa na muislam. Njoo kwenye hali za kiuchumi za waislamu ni mbaya sana. Ukiumwa utaenda kujitawaza msikitini?
Huu mkataba ndiyo maana unapigwa vita. Mwaarabu akikusaidia sana atakujengea msikiti na kisima cha kujitawazia.
TOP 3 YA MATAJIRI NCHINI NI WAISLAM.HIO HALI YA UCHUMI UNAIPIMAJE. SINGIDA KUNA SHULE NYINGI ZA KIISLAM SAS SIJUI ULITAKA IWE NINI KWENY UPOTOSHAJI WAKO
 
Nilishasema mwanzo hili suala limeingia udini ndani yake, wakristo hawaitaki DP World kwa sababu ya uislam.

Wagalatia wana roho mbaya sana.
Ni kwanini mlimpindua Mwarabu Zanzibar?
Wakristo hawajawahi kuwafukuza Waarabu ila ni nyie Waislamu wenyewe.

Halafu Lawama munawatupia Wakristo.

Sisi Wakristo Uislamu hautusumbui kabisa.
Rekebisheni huo Mkataba Waje wafanye kazi.
 
Umesema kweli hasa hasa Tanzania, na Serikali ingeng'amua hilo na kusimama kidete kutoruhusu influence ya dini yeyote kwenye Serikali na vyama vya siasa. Tanzania itakuwa na Maendeleo ya kubeep beep tu kutokana na kuruhusu dini zituingilie. Hata kwenye u
Sure ndugu yangu, hata hizo dini zenyewe zinajipinga, zenyewe zimejichelewesha kwa misimamo ya mawazo ya zamani ya waanzilishi wao, tukiwapa nafasi watu wa dini usiku utatufikia tukiwa hatujafika popote.
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Kurudisha tena kwa jamii kuna ubaya gani?. Said Bakhresa ametajirika kwa kutoa sadaka kama hii wanayotoa DPW.

Miaka ile ya 80 tukiwa watoto kila siku ya ijumaa na zile sikukuu kama Eid walikuwa wanapanga foleni ndefu wazee na wasiojiweza pale Livingstone na baraka alizopata ndizo hizi zimemuwezesha kuwa tajiri mkubwa hapa Tanzania.

Sadaka ya hawa waarabu isiwe nongwa kwa sisi wengine tunaojaa roho ya chuki.
 
Nilikwambia Toka Mwanzo kinachopingwa hapa na waliojificha kwenye sijui mkataba mbovu ni mambo ya Kidini.

Kwamba ni sawa Wazungu kutoa pesa za kusaidia Wakristo ikiwemo kuwajengea makanisa nk ila ni haramu hao hao DP World kutoa pesa za kusaidia Waislamu 😁😁😁😁
Suala la msingi katika kupinga mkataba wa bandari si la dini bali la maslahio ya Taifa!! Mkataba gai usiokuwa na ukomo? mkataba ambao hauwezi kuuvunja no matter what!! Mkataba ambao hauainishi sisi tutyapata nini!! mkataba ambao hauainishi mwekezaji atawekeza kiasi gani! etc. Huu ni mkataba kama al,ioingia sultan Mangungo!!
 
Suala la msingi katika kupinga mkataba wa bandari si la dini bali la maslahio ya Taifa!! Mkataba gai usiokuwa na ukomo? mkataba ambao hauwezi kuuvunja no matter what!! Mkataba ambao hauainishi sisi tutyapata nini!! mkataba ambao hauainishi mwekezaji atawekeza kiasi gani! etc. Huu ni mkataba kama al,ioingia sultan Mangungo!!
Dini imejificha nyuma ya mkataba
 
Mbeya kuna bandari ipi? Mpaka akimbilie huko? Mbona sijawahi kusikia GGM imejenga zahanati Iringa? I la huko Kahama/Geita walipo wanajenga na ni sahihi.JITAMBUE NDUGU.
Ulivoandika unaona umepatia menyew [emoji23][emoji23].

Akili yako unajua bandari ni majini pekee.

Sawa akili mingi ntajitambua
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Kwa nini tunagombana kwa ajili ya dini zetu? Wakati dini ni variable wala si constant, leo unaweza kumuona mtu mkristo mara kesho kabadili kawa muislamu, vile vile unaweza kumuona muislamu leo, kesho ameritadi. Hivyo tuangaliye maslahi yetu ya kidunia kama wananchi wa nchi moja na imani zetu zilenge katika kutufanya tuwe binadamu bora kabisa kuishi haya maisha ya dunia.
 
Kujenga misikiti hiyo ni mambo yao binafsi, Ni sawa na wewe ufanye biashara na mtu alafu baada ya kugawana faida yule unaefanya nae biashara akupangie hela yako ufanyie nini ni jambo ambalo haliingii akilini

kila mtu anaamua hela yake afanyie nini, hoja iwe ni mkataba wa bandari na hoja isiwe sijui wamiliki wa Dp world wamevaa kanzu au wameenda msikitini kutoa sadaka hiyo ni mambo binafsi.

Vinginevyo kama kuna vita ya udini sawa
 
Back
Top Bottom