Askofu Mwamakula mbona humkemei Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe?

Askofu Mwamakula mbona humkemei Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe?

Makamanda Pipo's power ✌️✌️✌️✌️
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.


sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.

Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Halo kaaskofu kanamuogopa Mbowe.
 
Makamanda Pipo's power [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.


sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.

Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Kwani bado hujajifungua mimba aliyokupa Mbowe?
 
Ombi : Utoaji mimba uhalalishwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wazazi wa kijana huyu utopolo wanavyodhalilika
Kwa uzi Kamanda Asiyechoka yuko right na amesema ukweli, ila wewe unabebwa na hisia
 
Umemuumbua vibaya sana !
Wewe wala yeye hamkufanikiwa kumuumbuwa, ila mmejidhalilisha kwa kuonyesha kuwa nyie ni benders au ni zile Toys A kujazwa ufunguo na zikielekezwa ukutani basi nduo mvui hadi kugonga ukuta.
 
Makamanda Pipo's power ✌️

Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.


sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.

Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Kwani yale maandamano ya nchi nzima ya huyo Askofu Mwamakula yaliishia wapi?
 
Ombi : Utoaji mimba uhalalishwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wazazi wa kijana huyu utopolo wanavyodhalilika.
Huyu ni mpumbavu haswa . Alitaka mbowe alale na bi mkubwa wake ndo ajue anawashughulikia wake 19? Badala ya kumlaumu yule speaker mgonjwa
 
Makamanda Pipo's power [emoji3577]

Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.

Sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda High Court.

Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Benson Mrombo kumsakama kooote Mbowe CCM wamekupotezea!!!! Una kimavi siyo cha nchi hii
 
Back
Top Bottom