Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Halo kaaskofu kanamuogopa Mbowe.Makamanda Pipo's power ✌️✌️✌️✌️
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.
sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.
Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Unaweza kuta Chairman nae ni system!!Usitetee maovu ya Chairman,ametugharimu sana.
Kwani bado hujajifungua mimba aliyokupa Mbowe?Makamanda Pipo's power [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.
sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.
Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
KunguruUsitetee maovu ya Chairman,ametugharimu sana.
Tangu lini wewe ukawa mwanaume?Wewe ndio duwanzi kutetea utapeli wa kisiasa. Upo humu jf kukagua Id za wanaume?
Akili za kipotoloKupinga ujinga aliofanya Job Ndugai.
Kunguni unamshinda kuvaa nguo tuWe kamanda uchwara,acha ujinga kutete ujinga. Unaleta maswala ya kipuuzi kabisa.
Wewe unakagua wenye nini, kura kwenye mabegi?Wewe ndio duwanzi kutetea utapeli wa kisiasa. Upo humu jf kukagua Id za wanaume?
Kwa uzi Kamanda Asiyechoka yuko right na amesema ukweli, ila wewe unabebwa na hisiaOmbi : Utoaji mimba uhalalishwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wazazi wa kijana huyu utopolo wanavyodhalilika
Wewe wala yeye hamkufanikiwa kumuumbuwa, ila mmejidhalilisha kwa kuonyesha kuwa nyie ni benders au ni zile Toys A kujazwa ufunguo na zikielekezwa ukutani basi nduo mvui hadi kugonga ukuta.Umemuumbua vibaya sana !
Usitetee maovu ya Chairman,ametugharimu sana.
Wewe kibaka wa Lumumba tuondolee uduwanzi wako hapaUsitetee maovu ya Chairman,ametugharimu sana.
Wewe dada umevurugwa yaelekea umetiwa mimba kisha ukaachwa solembaWewe ndio duwanzi kutetea utapeli wa kisiasa. Upo humu jf kukagua Id za wanaume?
Mpuuzi mwenyeweWe kamanda uchwara,acha ujinga kutete ujinga. Unaleta maswala ya kipuuzi kabisa.
Wewe ndiyo unaburuzwa na Chakubanga hapo LumumbaNalo neno. Makamanda anatuburuza tu.
Kwani yale maandamano ya nchi nzima ya huyo Askofu Mwamakula yaliishia wapi?Makamanda Pipo's power ✌️
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.
sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda Highcourt.
Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.
Bora Moderator kampiga kitofa akatulie maana anatuharibia jukwaaKamanda wa kijani wewe shetani wa lumumba.
Huyu ni mpumbavu haswa . Alitaka mbowe alale na bi mkubwa wake ndo ajue anawashughulikia wake 19? Badala ya kumlaumu yule speaker mgonjwaOmbi : Utoaji mimba uhalalishwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wazazi wa kijana huyu utopolo wanavyodhalilika.
Benson Mrombo kumsakama kooote Mbowe CCM wamekupotezea!!!! Una kimavi siyo cha nchi hiiMakamanda Pipo's power [emoji3577]
Mimi kamanda kindakindaki msemakweli naomba askofu Mwamakula ampe vidonge chairman wetu. Siasa za kitapeli sasa basi. Amekula ruzuku mpaka chama kikakosa nguvu ya kupata wabunge na madiwani,askofu kakaa kimya.
Sasa tunafanyiwa dharau na vidampa 19 ambavyo havina mbele wala nyuma. Yupo kimya na hatusikii habari ya kwemda High Court.
Ombi langu ni kwa askofu Mwamakula, ampe makavu Mbowe aachane na Chadema. Askofu Mwamakula onyesha njia ili kikwazo kiondoke. Sio kukaa unakosoa waliopo madarakani tu.