Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
“AKILI za kuambiwa, changanya na za kwako.” - Mh Jakaya Mrisho Kikwete
Watoto wenye shida ni wengi sana humu mitaani lakini hao maaskofu huwa hawatumii muda wao hata kuwaombea michango ya kuwasaidia, zaidi ya kutaka sadaka zao tu.Kama kuna mtoto kwenu wa miaka 13, usingeandika hivyo. Mkuu hebu kaa upande wa kutetea watu, tetea wanao onewa. Mahubiri ya makanisani na kusaidia watoto(japo makanisa kweli yanasaidia watu), unaongeaje hivi ikiwa kweli unajali maumivu ya watu?. Unajipatia laana, na hautaiona itakapokupata, utaenda kuagua.
Waovu hawashindi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Pepo mchafu wewe.Udokozi sio mzuri
Kwa Wakristo wengi hiyo ni kawaida kuwa na majina mawili,unaweza kuwa na jina la nyumbani ukaitwa Frank na shuleni ukaitwa Ibrahimu.Wewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?
pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank
Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Unatangaza kazi yako? Sorry situmii peleka kwa wenginePepo mchafu wewe.
Wenzako tuko serious wewe unaleta ushoga wako hapa.
Hoja ni kosa la kuchuma limao kukaa sell?
Hoja ni kwamba, ni sahihi mtoto kukaa mahabusu pamoja na wazee?
Kwa Wakristo wengi hiyo ni kawaida kuwa na majina mawili,unaweza kuwa na jina la nyumbani ukaitwa Frank na shuleni ukaitwa Ibrahimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kung'ang'ania ujinga,nimekupa mfano really kabisa ambao mtaani wapo watu wengi wenye kutumia hayo majina nyumbani,kazini ama shuleni.Ubatizo mtu hubatizwa jina moja tu Lingekuwa la kilugha hapo sawa lakini huwezi kuitwa nyumbani jina la ubatizo la peter halafu shule ukaitwa jina lingine la ubatizo la mark
Huyo anaonyesha mhalifu mzoefu hataki wamfuatilie jina lake original kujua mambo yake
Wewe una uhakika yule mtoto Hana miaka 13?Wewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?
pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank
Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Watu wanateswa sana Nchi hii na Polisi kwa uonevu"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Hatuna mahabusu za watoto za kutosha. Ila nimeshuhudia vituo vingine polisi wakikataa kuwaweka watoto ndani. Mara nyingi walikuwa wanakaa nao pale wanapopokelea mashtaka hadi wazazi wao au watu wa ustawi wa jamii wanapokuja. Hao wanaowaweka mahabusu za watu wazima wanakiuka taratibu. Lakini sishangai."Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Wenzetu wana mtizamo kuwa hamna mtoto anaeshindikana. Ni jamii ndio inasababisha wafike wanakofika. Na kuwanawia mikono ni kusogeza mbele tatizo.Hawa ni wale watoto walioshindikana mtaani. Inawezekana hata familia imeshamchoka wamemsusa.
sasa hapo tatizo ni kwa nani mtoto nimwizi sasa huyu malaya mwamakula anatetea nini aache use wake wacha vyombo vya dola vifanye kazi yake huyo ni mwizikama wezio wengine tu acha apate alichok=u=wa ana kitafuta"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
ndiyo maana hata hawamfuatilii mpaka hawajui kama yupo mahabusu ni jizi hilo ambao litakuwwa jambazi sugu baadae wacha ajifunzeHawa ni wale watoto walioshindikana mtaani. Inawezekana hata familia imeshamchoka wamemsusa.
Mtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Wenzetu wana mtizamo kuwa hamna mtoto anaeshindikana. Ni jamii ndio inasababisha wafike wanakofika. Na kuwanawia mikono ni kusogeza mbele tatizo.
Amandla...
ndiyo maana hata hawamfuatilii mpaka hawajui kama yupo mahabusu ni jizi hilo ambao litakuwwa jambazi sugu baadae wacha ajifunze