johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nawasalimu kwa jina la JMT!