johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Hafanyi siasa kanisani!Na Kanisani amejivua UASKOFU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hafanyi siasa kanisani!Na Kanisani amejivua UASKOFU?
Na huo ndio utume wao!Hoja nzima hapo ni kuwapiga Marufuku Viongozi wa Dini kuzungumzia Siasa wazungumzia biblia na Qouran
Ni kweli. Lakini ulishawahi kuandika kuhusu Askofu Kilaini kumpigia kampeni Jakaya Kikwete?Kwa mfano askofu Mwamakula kumpigia kampeni Tundu Lisu, hairuhusiwi!
Mwanakondoo ameshinda tumfuate.Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wakati ule utaratibu uliruhusu ndio maana askofu Gwajima na Kakobe walikuwa wanaingia kwenye kamati kuu za Chadema na TLP!Ni kweli. Lakini ulishawahi kuandika kuhusu Askofu Kilaini kumpigia kampeni Jakaya Kikwete?
Helicopter za kupulizia dawa za kuuwa nzige!!!Huyu Mpuuzi anaendesha Hummer na kumiliki Helicopter lakini sehemu ya ibada haithamini kabisa.
Acha upumbafu wewe mfia chama ilihali unakula mihogo kwenu..hata kale manabii hawakua walamba miguu ya wafalme pale walipoenenda kinyume na haki.Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hahahaaaa...... Ndio mjiandae kufanya kampeni 2025 bila mitume na manabii!Acha upumbafu wewe mfia chama ilihali unakula mihogo kwenu..hata kale manabii hawakua walamba miguu ya wafalme pale walipoenenda kinyume na haki.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujamtaja Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam?View attachment 1846372huyo amtaji ni mataga mwezake
Cc sheikh wa mkoa wa dsm and gwajima ,mama rwakatare ohh sorryKwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Inabidi uwakubali kama uwakubalivyo wale wa BAKWATAKwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
1. Naomba ushahidi wa Mwamakula kuongelea siasa kanisani.Gwajima ataongelea siasa kwenye bunge, na akiwa kanisani ataongelea mambo ya mungu.
Mwamakula na ponda wanayo nafasi ya kuingia kwenye siasa ili wakatimize haja zao kama alivyo fanya gwajima na wengine huko nyuma kama msigwa na yule wa karatu kipindi hicho.
Hawana maana, wanasiasa kila siku wanashinda makanisani, wanafuata nini?Huyo mleta mada kwa bahati mbaya Muumba alimpa uwezo wa kufikiri ila yeye akaamua kuuchimbia chini na sasa anasaidiwa kufikiri.