kiletza
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 538
- 938
Huyo mleta mada kwa bahati mbaya Muumba alimpa uwezo wa kufikiri ila yeye akaamua kuuchimbia chini na sasa anasaidiwa kufikiri.Kwani Askofu Gwajima kaacha kutumikia kanisa lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mleta mada kwa bahati mbaya Muumba alimpa uwezo wa kufikiri ila yeye akaamua kuuchimbia chini na sasa anasaidiwa kufikiri.Kwani Askofu Gwajima kaacha kutumikia kanisa lake?
Mnyika na Bonny 2015 walikuwa waumini wa hilo unaloliita pagale bwashee!Lile halina hadhi ya kuitwa kanisa ni pagale la misukule
Magufuli alipokuwa akiyageuza makanisa na misikiti majukwaa ya siasa mbona hamkumkemea?Sehemu zao za ibada!
Kawafuata kulekule waliko, Chama Cha MisukuleHivi Askofu Rashid katekeleza Kanisa lake la kufufua misukule.
Mbona mchungaji Msigwa aliacha kondoo akaja kutumikia makamanda.
Tuwe fair jamani!
Na bado, tutamchakaza mpaka ajishangae,Huyu mama amechanganyikiwa
Hapo unamuongelea Rais au Mwenyekiti wa CCM?Magufuli alipokuwa akiyageuza makanisa na misikiti majukwaa ya siasa mbona hamkumkemea?
Hahahaaaa...... Wewe hautachakazwa bwashee hapo Singida?Na bado, tutamchakaza mpaka sjishangae😂😂
Magumashi mara ngapi kafanya siasa kanisani na misikitini, Hadi alikuwa kazizoea madhabahu Hadi akawa anaongea uwongoHapo unamuongelea Rais au Mwenyekiti wa CCM?
Kilichokatazwa ni kiongozi wa dini mfano mchungaji Msigwa kutumia dini kufanya siasa, uwe unaelewa bwashee!
Hakuna unachoelewa. Hivi unaelewa maana ya kutumia dini kufanya siasa?Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Gwajima ataongelea siasa kwenye bunge, na akiwa kanisani ataongelea mambo ya mungu.Kwani Askofu Gwajima kaacha kutumikia kanisa lake?
Viongozi wa dini wana hamasisha amani na utii wa sheria na si vinginevyo,Hata Mwadhama Pengo naye itabidi achague ccm au roma hapo ndo kisu lzm kikate mfupa.
Wewe kweli low IQ. Mchungaji Msigwa ni lini aliwahi kutumia dini kufanya siasa. Inaonekana huelewi kabisa dhima nzima.Hapo unamuongelea Rais au Mwenyekiti wa CCM?
Kilichokatazwa ni kiongozi wa dini mfano mchungaji Msigwa kutumia dini kufanya siasa, uwe unaelewa bwashee!
Hujaeleweka mdau, ongeza hoja zenye mashiko kidogo kwenye mada yakoKwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wapi nimesema mchungaji Msigwa alitumia dini kufanya siasa?Wewe kweli low IQ. Mchungaji Msigwa ni lini aliwahi kutumia dini kufanya siasa. Inaonekana huelewi kabisa dhima nzima.
Vipi GWAJIMAKwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwa mfano askofu Mwamakula kumpigia kampeni Tundu Lisu, hairuhusiwi!Hujaeleweka mdau, ongeza hoja zenye mashiko kidogo kwenye mada yako
Gwajima ni mwanasiasa!Vipi GWAJIMA
Na Kanisani amejivua UASKOFU?Gwajima ni mwanasiasa!
Hoja nzima hapo ni kuwapiga Marufuku Viongozi wa Dini kuzungumzia Siasa wazungumzia biblia na QouranNa Kanisani amejivua UASKOFU?