johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Asante sanaKwani Askofu Gwajima kaacha kutumikia kanisa lake?
Huyu mama amechanganyikiwa
Huyu mama amechanganyikiwa
Mbona hujamtaja Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam?Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hili hapaHivi Askofu Rashid katekeleza Kanisa lake la kufufua misukule.
Waache wawatumikie wananchiKwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sehemu zao za ibada!Waache wawatumikie wananchi
Kina Shoo wameelewa somo!Upuzii huu umeandika bwashee
Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mbona mchungaji Msigwa aliacha kondoo akaja kutumikia makamanda.Samia hana mamlaka hayo ARIE TU!
Lile halina hadhi ya kuitwa kanisa ni pagale la misukuleHivi Askofu Rashid katekeleza Kanisa lake la kufufua misukule.
Unawapangia sio ninsi ya kuendesha maisha yao wewe ni nani?Kwamba kutumia dini kufanya siasa ni kinyume cha taratibu na sheria kutapelekea Askofu Mwamakula na Shehe Ponda kufanya maamuzi magumu ya ama kuitumikia Chadema au kurudi kuzitumikia dini zao.
Nawasalimu kwa jina la JMT!