Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.
Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.
Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.
Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13
Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA
Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)
Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.
Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.
Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.
Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13
Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA
Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)
Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.
Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen