Askofu Mwamakula napingana nawe na tutaona fimbo ya Haruni ni ipi?

Askofu Mwamakula napingana nawe na tutaona fimbo ya Haruni ni ipi?

Mungu hawezi kuruhusu watu wake waishi kwatabu. Huwa tunamuomba na anatusikia na kutenda huyo ndiye mungu. Tulimuomba lissu apone akamponya ili uwe ushuhuda na tunaomba mungu aondoe kikwazo na ameondoa
 
Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.

Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.

Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.

Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13

Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA

Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)

Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.

Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
Magufuli akizindua daraja la ubu go alisema kwamba hamna diwani aliyeshinda kwa kuchaguliwa na wananchi. Ushahidi wa video upo.
Kwa maana hiyo hata wabunge hawakuwa chaguo la wananchi.
Hata yeye pia hakuwa chaguo la wananchi.
Tuliona kasoro nyingi sana za hovyo kwenye uchaguzi huu.
Mwamakula Yuko sahihi
 
ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii
Kwa kuomba Katiba mpya ndio Ghafla amekuwa mtaabishaji wa Taifa?

Vipi kuhusu huyo Mtaabishaji In chief ambaye mpaka sasa maelfu ya roho za Wananchi wasiokuwa na hatia zimeangamia kwenye mikono yake?
 
Mungu hawezi kuruhusu watu wake waishi kwatabu. Huwa tunamuomba na anatusikia na kutenda huyo ndiye mungu. Tulimuomba lissu apone akamponya ili uwe ushuhuda na tunaomba mungu aondoe kikwazo na ameondoa
Mungu yupi mnaemwomba kwa sasa,ambae 2020 hamkumwomba?!, ambae mlimwomba lissu akapona,lkn mkamwomba tena lissu awe rais na mungu akawajibu!!!!, onyesha basi kuwa unazo hata zile akili kidogo,jifunze kufikili kwa usahihi,na ujifunze kutafakari kwa umakini kabla hujaandika chochote,
 
kuhusu kwamba alioneshwa kuwa lisu ni rais, huwezi kuwa na hakika kabisa kwamba alidanganya, kama ni jambo la kiroho na kama kuna wizi wa kura ulifanyika kweli, mbingu zitamtambua aliyetabiriwa kwamba ndie rahisi halafu huyo wa kimwili ataondelewa kidogo kidogo : case study Daudi na Sauli
Labda rais wa mashoga!
 
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
 
Hakuna jambo linalotokea chini ya jua isipokuwa Mungu ameliruhusu. Shetani hana nguvu kumshinda Mungu!
Mpango wa Mungu si kwa jinsi ya kibinadamu Kama ufikiriavyo, Ni kiroho zaid.
Africa ikiwemo Tanzania ilitawaliwa na wakoloni waliowaua na kuwatesa Babu zetu miaka na miaka

Wana wa Israel, Taifa Teule la Mungu, walichukuliwa utumwani Misri miaka kibao na waliteseka jangwan miaka na miaka wakitafuta kurudi nchi ya Ahadi

Waafrika Kusini walitawaliwa, wakateswa, wakauwawa miaka lukuki.

Mpango wa Mungu si mpango wa kibinadamu. Kwa kuwa umeona leo umeiba na ukafanikiwa kuiba na hujakamatwa Sasa jidanganye kuwa Ni Mungu kakuwezesha/kakuruhusu uibe sababu tu hukukamatwa Ila kaa ukijua za mwizi Ni arobaini.

Uongo huwa unafika haraka kileleni lakini haudumu....ukweli unachelewa kufika lakini ukweli ukifika umefika...unadumu
 
Jamani kwa nini watanzania mnakuwa na mibichwa migumu sana kuelewa,mmeambiwa wakati huu ndio wakati muhimu kushikamana kwa haya yaliyokumba taifa



Nazungumzia nzige wa jangwani wakuu na suala la rubani mkenya kutelekeza ndege
 
Yesu alipokuja duniani alikuja na agenda kuu ya kushughulikia dhambi. Na kazi hiyo amewapa watumishi wake. Shida kubwa ni dhambi mengine yanafuata. Angejikita kushughulikia dhambi na kuhubiri amani na uoatanisho hakika Mungu angeshusha neema yake mapema.

Tatizo anafanya vita mwilini badala ya rohoni. Maana yake analazimishia haja ya moyo wake na sio mapenzi ya Mungu. Hafai kuwa Mchungaji.
Upo sahihi.
Ila labda nikukumbushe tu.

Wakati tundurisu anaumizwa watu wa dini mbalimbali.
Wakristo kwa waislam walitamani wamuombee kwa hali ile iyompata,
Matokeo yake watu wakapigwa marufuku kusubutu kufanya hivyo.

Hatakama mtu huyo ni adui yako wewe umeona ni sawa??

Wakati huo kunawatu wanadhalilisha wenzao kwenye majukwaa na kutaka kuombewa kila siku.

Hivi mwenyez mungu kakuweka hapo uwaone watu wa chini yako kama mifugo yako nyumbani ukijisikia uchu unachinja?

Kama hayajafanyika haya useme hapa.

ILA MUNGU NI MKUBWA SIKU ZOTE.
 
Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.

Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.

Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.

Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13

Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA

Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)

Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.

Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
Kwahiyo magufuli alipigiwa kula na mungu sio?
 
Askofu Mwamakula - wewe ni mjumbe wa Mungu - tayari tumeanza kuona misukosuko katika taifa.. Maandamano ya kudai haki na katiba mpya yameshaaza bila watu kujijua.

Tupo kwenye maandamano tayari..... (Wiki sasa na ushee)
 
Mungu yupi mnaemwomba kwa sasa,ambae 2020 hamkumwomba?!, ambae mlimwomba lissu akapona,lkn mkamwomba tena lissu awe rais na mungu akawajibu!!!!, onyesha basi kuwa unazo hata zile akili kidogo,jifunze kufikili kwa usahihi,na ujifunze kutafakari kwa umakini kabla hujaandika chochote,
Maombi ya mwenye haki hupokelewa kwa mungu. Maombi ya mtu asiye haki ni chukizo mbele za bwana.

Mungu anajibu kwa wakati. Maombi yamejibiwa
 
Wewe mwanamke una shida sana! Kwa namna unavyo mtetea huyo mzee, naamini utakuwa unafahamu hata kinacho endelea mpaka muda huu bila shaka.
Alipinga serikali kibao za wakoloni kusini msa Afrika mfano, Msumbiji, Zimbabwe, Afrika ya kusini etc.
 
Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.

Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.

Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.

Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13

Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA

Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)

Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.

Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
Idd Amin Dada, Jean Baptiste Bokasa, Sam Nguema, Muamar Guadhafi wote ni viongozi wauaji katika historia ya ulimwengu wetu. Je waliwekwa na Mungu?
Idd Amin Dada katika uongozi wake alinyonga na kuua watu kama nzi. Hadi viongozi wa Kanisa aliwachinjilia mbali. Manabii wengi walijitokeza kumpinga wakaambulia makaburi.
Ulivyoandika nakueleza wazi wewe ni mfaidika wa utawala dhalimu. Hata kipindi cha Eliya, Isaya, Jeremia walikuwepo walamba viatu vya wafalme waovu na hata wafitini kama wewe.
Mwamakula ameamua kuwa Yohana Mbatizaji kwa Mtawala/Herodi wa kumwambia wazi kuwa ni vibaya kumnyanganya ndugu yake mkewe yaani Herodia. Kichwa chake kilidaiwa kwenye bakuli la dhahabu na ndivyo ilivyokuwa. Mwamakula yuko tayari kwa lolote kwa kutetea uhai wa watanzania tofauti na wewe unayelamba miguu ya watawala.
Tuachie Mwamakula wetu wewe endelea kula vinono kutoka mezani mwa mtesi wetu. Lakini tunajua mtetezi wetu mkuu yu hai!
 
Back
Top Bottom