Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli akizindua daraja la ubu go alisema kwamba hamna diwani aliyeshinda kwa kuchaguliwa na wananchi. Ushahidi wa video upo.Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.
Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.
Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.
Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13
Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA
Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)
Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.
Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
So, makabila ya Wangoni, Wairaq na mengine ya wahamiaji hayaruhusiwi kutawala nchi hii?Kutawaliwa na mtu asiyetokana na ardhi husika ni laana. Mwl. Nyerere alikuwa sahihi na alisimama na Biblia
Kwa kuomba Katiba mpya ndio Ghafla amekuwa mtaabishaji wa Taifa?ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii
Mungu yupi mnaemwomba kwa sasa,ambae 2020 hamkumwomba?!, ambae mlimwomba lissu akapona,lkn mkamwomba tena lissu awe rais na mungu akawajibu!!!!, onyesha basi kuwa unazo hata zile akili kidogo,jifunze kufikili kwa usahihi,na ujifunze kutafakari kwa umakini kabla hujaandika chochote,Mungu hawezi kuruhusu watu wake waishi kwatabu. Huwa tunamuomba na anatusikia na kutenda huyo ndiye mungu. Tulimuomba lissu apone akamponya ili uwe ushuhuda na tunaomba mungu aondoe kikwazo na ameondoa
Labda rais wa mashoga!kuhusu kwamba alioneshwa kuwa lisu ni rais, huwezi kuwa na hakika kabisa kwamba alidanganya, kama ni jambo la kiroho na kama kuna wizi wa kura ulifanyika kweli, mbingu zitamtambua aliyetabiriwa kwamba ndie rahisi halafu huyo wa kimwili ataondelewa kidogo kidogo : case study Daudi na Sauli
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
ASKOFU mwamakula ni kiongozi wa kiroho,kazi yake ni upatanishi sio uchonganishi,hiki anachokifanya leo ni kazi ya ibilisi,
NANI ALIYEKWAMBIA KUWA MAMLAKA ITOKAYO KWA MUNGU HAIRUHUSIWI KUUWA?!, KASOME TENA MAANDIKO,Wale wanaouana wanabaka wanafir* wanapoteza watu wote ni mamlaka ya Mungu?
Mpango wa Mungu si kwa jinsi ya kibinadamu Kama ufikiriavyo, Ni kiroho zaid.Hakuna jambo linalotokea chini ya jua isipokuwa Mungu ameliruhusu. Shetani hana nguvu kumshinda Mungu!
Upo sahihi.Yesu alipokuja duniani alikuja na agenda kuu ya kushughulikia dhambi. Na kazi hiyo amewapa watumishi wake. Shida kubwa ni dhambi mengine yanafuata. Angejikita kushughulikia dhambi na kuhubiri amani na uoatanisho hakika Mungu angeshusha neema yake mapema.
Tatizo anafanya vita mwilini badala ya rohoni. Maana yake analazimishia haja ya moyo wake na sio mapenzi ya Mungu. Hafai kuwa Mchungaji.
Kwahiyo magufuli alipigiwa kula na mungu sio?Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.
Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.
Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.
Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13
Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA
Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)
Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.
Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen
Maombi ya mwenye haki hupokelewa kwa mungu. Maombi ya mtu asiye haki ni chukizo mbele za bwana.Mungu yupi mnaemwomba kwa sasa,ambae 2020 hamkumwomba?!, ambae mlimwomba lissu akapona,lkn mkamwomba tena lissu awe rais na mungu akawajibu!!!!, onyesha basi kuwa unazo hata zile akili kidogo,jifunze kufikili kwa usahihi,na ujifunze kutafakari kwa umakini kabla hujaandika chochote,
Alipinga serikali kibao za wakoloni kusini msa Afrika mfano, Msumbiji, Zimbabwe, Afrika ya kusini etc.Wewe mwanamke una shida sana! Kwa namna unavyo mtetea huyo mzee, naamini utakuwa unafahamu hata kinacho endelea mpaka muda huu bila shaka.
Kama ulivyompuuzi weweUpuuzi gani huu?
Idd Amin Dada, Jean Baptiste Bokasa, Sam Nguema, Muamar Guadhafi wote ni viongozi wauaji katika historia ya ulimwengu wetu. Je waliwekwa na Mungu?Nimefatilia maandiko mengi ya Askofu Mwamakula kuhusu Rais Magufuli. Nimependa kumwambia ameibuka kuwa mtaabishaji wa nchi hii na kwasababu analitaja Jina la Jehovah basi Mkonoa wa Jehovah utaamua kati yake na Rais Magufuli.
Nimkumbushe tu! Vita anayifanya na Rais Magufuli anafanya vita na Mungu aliyeruhusu akaketi kwenye hicho kiti. Aliwaaminisha Watanzania kuwa Mungu amemuonesha Lisu ni Rais. Kama mtumishi wa Mungu kutoa neno ambalo halikuwa ni ishara tosha kuwa hana Roho wa Mungu na alitakiwa kuvua Joho la Kichungaji. Amedhihirisha Mungu wake ni dhaifu kushindwa kuzuia wizi wa kura anaoutaja.
Makanisa na Miaikiti nchi nzima imeungana kumuombea Rais Magufuli yeye anakuja na ngonjera. Basi tutaona fimbo ya Haruni itakapochanulia.
Kwa kifupi ni hivi:-
Ask Mwamakula ni Askofu asiyemtambua Rais Magufuli na kwa sisi Wakristo hapo ni moja kwa moja AMEKANYAGA NENO LA MUNGU Kwani Mungu humpa amtakaye na humnyima asiyemtaka, Mamlaka lazima ziheshimiwe. Warumi 13
Askofu Mwamakula hatambui uwezo uliopo NDANI YA DAMU YA YESU KRTISTO NA JINA LA YESU. Waefeso 2:13-16 kwwnini asiitumie Damu ya Yesu kuleta upatanisho pale anapoona hakuna? Jina na Damu ya Yesu INALINDA NA INAPONYA
Askofu Mwamakula ANA ULIMI WA HATARI KAMA NYOKA NA MDOMONI MWAKE MNA MANENO YA SUMU YA FIRA (Zaburi 140:3)
Leo asubuhi kwenye maombi ya alfajiri Mchungaji alitupitisha kwenye Zaburi ya 140. Tulitumia Zaburi hii kumuombea Rais Magufuli.
1. Mungu amlinde na watu wakatili wanaomzushia kifo na magonjwa
2. Mungu amlinde na watu wanaomuwazia mabaya
3. Mungu amlinde na mashindano ya ndimi zenye sumu ya fira na ulimi wa nyoka
4. Mungu amlinde na makucha ya wabaya
5. Mungu amlinde watu wenye kiburi waliomtegea mitego na kamba kama wavu
6. Mungu asikilize maombi yake
7. Mungu aendelee kumkinga awe salama mikononi mwake
8. Mungu asiwape waovu wanayoyataka, wala mipango yao mibaya isifanikiwe
9. Mungu amtetee, maneno yote maovu yawapate wenyewe
10. Mungu asababishe makaa ya motoyawaangukie wenyewe watumbukie shimoni wasiinuke tena
11. Mungu asababishe wasengenyaji wote na wazushi wasifanikiwe ktk nchi
12. Mungu amtetee mtumishi wake, atete nao wanaoteta naye
13.Mungu amfanye mtumishi wake mwadilifu na mnyoofu kulisifu jina lake na kukaa kwake.
Ask Mwamakula kwa mara nyingine Mungu anaenda kuudhihirishia ulimwengu wewe sio mtumishi wake. Badilika fanya kazi uliyoitiwa ya kuokoa waliopotea na kuhubiri Injili ya Amani na Mungu atakubariki. Amen