johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Mwamakula amesema RC Makonda alipopewa nafasi ya kusalimia Waumini kwenye Ibada ya Mwamposa alisema Eliya hakuwa Nabii na Biblia haimtaji popote kama Nabii
Mwamakula amemtaka RC Makonda asome Wafalme 18:22 Ili apate Maarifa Zaidi
Amesema Ukurasani X
Sabato Njema 😄🌹
Mwamakula amemtaka RC Makonda asome Wafalme 18:22 Ili apate Maarifa Zaidi
Amesema Ukurasani X
Sabato Njema 😄🌹