Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Kwa msioamini unyama wa Magufuli shauri yenu. Ila tambua Tanzania ilikuwa inaongozwa na kichaa kuanzia 2015 hadi 2021.

Mwaka 2012, Magu akiwa Waziri alibaka binti yake na kisha binti aka commit suicide kuficha hiyo aibu
 

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3Kuanzia dakika 55, Kabendera anasema inabidi kuondoa dhambi ya waasisi wa hii nchi kuanzisha mahakama kama ya Ujerumani iliyowahukumu nazi kule Nuremberg anasema Nyerere Waa wa hili taifa ndioa chanzo cha haya yote.

Kwahiyo wote waliosalia toka uhuru hadi sasa inabidi watafutwe, wafikishwe mahakamani na kuhukumiwa ili kuondoa mbegu mbovu. Kuponya Taifa.

Kuna uongouongo mwingi, inconsistents, anasema ukikaa barazani unasikia mengi.
 
Hawa hawa chadema ndo walikua hawataki covid19 waapishwe had magufuli akuombe weew uongee na mbowe?!!! Then imekuaje mbona wako upande wa mbowe had leo?!
Mbowevalijifanya kukataa kumbe gelesha. Eniwei, COVID19 walishafutwa uanachama.
 
Ukitoka maoni dhidi ya nchi badala ya kutoa maoni ya kujenga nchi Tena ukiwa kiongozi wa dini...lazima tujiulize maswali.
Ukweli huwa ni ukweli tu. Haupigiwi kura wala kufanyiwa make up. Kama uovu umefanyika katika nchi, ukweli kuhusu huo uovu na waovu husika hauwezi kufichwa ili kuficha aibu ya nchi. Ukweli unasemwa, uovu na waovu wajulikane na nchi ibadilike kwa serikali kushughulikia huo uovu au kujifunza namna ya kuushughulikia.
 
Asante mkuu
 
Kumbe akisemwa mtu unayemuheshimu kwa mambo ambayo hayajathibitika inawauma.Mara kibao tu mnamsema mbowe uku mitandaoni kwa mambo mengi ambayo hamna ushahidi nayo ila mnayang'ang'ania kwasababu ya chuki zenu.sasa kaguswa wa kwenu mnatoa milio kila kona.
 
Haya uliyoondika hayaondoi hata chembe ya uovu aliowafanyia wakosoaji wake na wapinzani. Usitake kuchanganya wajibu wake aliokuwa analipwa mshahara, na maovu aliyokuwa anatenda.

Nani
Haya uliyoondika hayaondoi hata chembe ya uovu aliowafanyia wakosoaji wake na wapinzani. Usitake kuchanganya wajibu wake aliokuwa analipwa mshahara, na maovu aliyokuwa anatenda.

Tanzania hakuna upinzani, kuna kikundi cha wahuni nyuma ya upinzani, huko kikundi kina kazi mbili, kazi ya Kwanza ni kutumia upinzani kama bargain chip incase na kazi ya pili ni kumanipulate watu ili Tanzania kuonekana kuna upinzani.

Awamu ya tano, upinzani ulitumika kama bargaining chip dhidi ya JPM baada ya kupambana na kile kikundi cha walaji nchi, hapa walaji nchi walikaa nyuma ya upinzani lengo kumtingisha na kumlegeza JPM, hapo ndio shida ilipoanzia kwa wanaojiita upinzani na wakosoaji wa JPM awamu ya tano.
 
Swali la kipumbavu sana hili. Ni mara ngapi Mwamakula alisema mambo yanayohusu utawala wa JPM mkaishia kumbeza kama anavyofanya sasa hivi?

Lakini pia, walioishi wakati wa World War II hawaruhusiwi kusema lolote kuwahusu Mussolini na Hitler eti kwavile walishakufa na hawawezi kujitetea? Hizi akili sijui za wapi tuu?
 
We ni mwongo mbona jpm hakutumia kama ngao ikiwa upinzani uko mikononi mwa ccm
 
Sitakaa hata siku moja kupinga taarifa za mtu ikiwa Mimi Sina taarifa rasmi na za kweli.

Nachukia sana kupinga kitu kisa Nina mihemko.

Katika kila jambo ninalopata kulisoma kama Sina taarifa sahihi na za kweli ili kumpinga mtu Huwa ninanyamaza na kujifunza.

All in All ... Mungu ni mwema!
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee ndio huamini propaganda za aina hii. Nakushauri mzee wangu amka, kizazi hiki sio cha propaganda za aina hiyo.
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee ndio huamini propaganda za aina hii. Nakushauri mzee wangu amka, kizazi hiki sio cha propaganda za aina hiyo.
Huyo jamaa andiko la Kabender limemchanganya hadi amelose focus kwenye fikra zake
 
Nasi Tuseme Ameeeen. Ila JIWE ukawe MAKAA ya Kubandikia chakula cha Shetani Kubabako Ulale pabaya Peponi
 
Wewe nawe kaliwe na PopoBawa na Huyo marehemu wenu
 
Wale wale tu sema na yeye siku zake zinahesabika
 
Umeelezea Vizuri ila hapo mwisho umepuyanga puyanga kama Panya Buku Wewe hayajakukuta ndugu yako auwawe na hata maiti msiione kama kina Ben Saa 8 Mambo mengine usi reasoning kihisia badala ya kutumia Akili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…