Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Hadithi hadithi njoo, utamu kolea
 
Wapelekwe mahakamani wakatoe ushahidi.
 
Kwani yeye alikuwa mtakatifu, yaani hana dhambi?.
 
Because it takes a month to write, publish a book and get Amazon to distribute it.
You are missing a point, I guess! With Deepseek, Germini, ChatGPT and the like, if you are serious with "hash money" a week is too long ! However, after Kibanda, Meena et al. book failure, I presume Kabe saw the 'evil chance'!
 
Ndugu Kifo si Adhabu ni Mlango kila Mtu atapita kwa Wakati wake hata hivyo Mungu wetu ni mwema kwa wasioshukrani na wenye shukran wapo watakatifu waliokufa wakiwa na umri mdogo na wapo watenda zambi waliokufa wakiwa na umri mkubwa Mungu Hapangiwi
Hakika umenena vema. Utawala wa JPM ulisababisha maumivu makubwa kwa watu wengi, nao wakamlilia Mungu mioyoni mwao. Mungu akasikia kilio chao na kumwondoa mtesi juu yao. Mungu anazo njia nyingi za kukomesha udhalimu kwa watu wake maana uwezo wote upo mikononi mwake.
 
Kumtuhumu mtualiekufa ni hadisi zakijingatu ambazo wajinga ndio wanawezakuamini.

Mnaandika yotehayo kwasababu mnajua muhusika hayupo,hawezi kukubali wala kukanusha.

Wapumbavu tu ndio watakao amini huo upuuzi.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Andika na wewe kitabu kupinga hizo uziitazo stori zetu dhidi ya huyo DHALIMU MKUU Mwendazake
Hakuna kinachotisha hapo, mauaji yameanza leo? Kwa Nini yawe hadharani wakati huu? Kwani unataka kusema waliouawa awamu nyingine wao sio binadamu? Mbona hayafufuliwi?
 
Hakuna kinachotisha hapo, mauaji yameanza leo? Kwa Nini yawe hadharani wakati huu? Kwani unataka kusema waliouawa awamu nyingine wao sio binadamu? Mbona hayafufuliwi?
what are you trying to tell in essense
 
Waliohudumu katika top positions kwa wamu ya 5 have to be accountable for the deeds of their boss as in one way or another they aided the killer!.........IGP, RCs, RCOs, and the like!
 
You are missing a point, I guess! With Deepseek, Germini, ChatGPT and the like, if you are serious with "hash money" a week is too long ! However, after Kibanda, Meena et al. book failure, I presume Kabe saw the 'evil chance'!
Yeah, very sensible, the magic of AI. Never mind the fact that he's made it known that he's been working on a book for a long time. Make up your mind, is it about countering CDM's infighting or books about a subject you don't like that supposed failed by your standards?

The meat gobbling isn't helping your thinking
 
COVID 19 ni dili ya Mbowe sasa sijui Askofu anataka kutuambia nini.

JPM alikuwa na nia ya dhati kabisa na nchi hii, kuitoa ilipo na kuipeleka mahala.
Wapumbavu wengi walitumia mbinu mbalimbali kumkwamisha katika nia yake hii na hapo ndio shida ilipoanzia.

JPM alipigana vita zote, za ndani ya chama chake CCM, nje ya chama chake wapinzania feki waliozoea kula kwa mongo wa siasa, wapinzania wa nje ya mipaka ya Tanzania waliozoea kuwaibia Watanzania na kula pamoja na Watanzania wenzetu ndani ya nchi.
Hizi vita alizopigana JPM ndio zimeleta uadui wote huu dhidi yake.

Leo CDM tunaona wanavyoshutumiana dhidi ya masuala ya rushwa, rushwa kutoka CCM, watu hawa hawa leo watamsema JPM, ugomvi wao na JPM nikuwakatia mirija na mafungu waliyokuwa wanapewa kuendesha upinzani feki.

JPM kuwakatia watu mirija ya hela za kuchezea ndani ya mifumo na kuwanyima watu fursa za kijingajinga kupeanapeana ajira, kuendesha semina na masafari ya nje pamoja na kufirisi baadhi ya watumishi na wafanyabiashara walioihujumu nchi NDIO KUMELETA NA KUZAA YOTE HAYA.

Wivu Kwa mageuzi aliyoyafanya JPM ambayo wengine yamewashinda mpaka Leo watu wamebaki na kinyongo na marehemu.
Mazishi ya kitaifa na response ya wananchi dhidi ya marehemu JPM imesababisha wivu kwa marehemu mpaka leo.

JPM alithubutu hata kureview mikataba ya Makampuni ya madini kwa manufaa ya Watanzania na sio wachache waliokuwa wanajichotea tu kupitia hizi kampuni kupitia vijana wao waliowapandikiza kila mahala.
Alichokifanya JPM ndio Leo hii tunaona kinatokea Mali, Niger,Burkina Faso nk.

JPM pamoja na mapungufu yake, ataendelea kuwa shujaa katika nchi hii na hawezi kufananishwa na Rais yeyote yule ukimtoa Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…