Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Muda mchache.umepona wewe mzee?Naona mambo yanazidi kuwa mengi....😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mchache.umepona wewe mzee?Naona mambo yanazidi kuwa mengi....😎
Kwaiyo tunakusubiria wwe uende ahera tuandike kuhusu SOCCER?Mkuu kuna mtu gani angeweza kusema uovu wa JPM akiwa hai? Acha ungese aisee.
Ndugu Kifo si Adhabu ni Mlango kila Mtu atapita kwa Wakati wake hata hivyo Mungu wetu ni mwema kwa wasioshukrani na wenye shukran wapo watakatifu waliokufa wakiwa na umri mdogo na wapo watenda zambi waliokufa wakiwa na umri mkubwa Mungu HapangiwiKwa haya tunayoyasikia ni dhahiri kifo cha Magufuli kilikuwa ushahidi wa upendo wa Mungu kwa watanzania.
Hayajaisha.Mungu aliliponya taifa
Mwingine huyu limempata, inaanza kama upepo baadae kimbungaTangu hizi habari zianze kusambaa hatujaona uthibitisho hata mmoja. Ni hearsays, speculations na personal opionions tu zinatawala. What a crap kutoka kwa a self-declared bishop.
Na bahati nzuri zinatoka kwa walewale vibaraka wa mabeberu. Hatushangai kama ambavyo hatushangai panya kumchukia paka.
It changes nothing especially kazi kubwa aliyolifanyia taifa hili Rais bora kabisa kuwahi kutokea.
Sina mashaka na andiko la askofu Mwamakula. Mashaka yangu ni kuwa aliye achiwa kiti lazima alikuwa anayajua yote haya na yale asiyoyajua wakati ule sasa ameyajua kutokana na source mbalimbali alizo nazo.Kazi ndio imeanza.
Sio vema kumsema au kusema maovu ya mtu aliye fariki kwani huwa unamjengea mazingira magumu huko aliko wewe ukiwa kama askofu unalijua hilo tunajifunza nini kwako, lakini kwanini haya mambo usiyaseme kipindi yupo hai na sifa moja wapo ya askofu ni kutofumbia maovu yanapofanyika🙄Mwishoni mwa mwaka 2020, nilipata ujumbe mzito kutoka kwa Rais Magufuli kupitia kwa mtu wake mmoja ambaye jina lake linatunzwa. Rais alimtuma kwangu akiniomba nishawishi Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Tundu Lissu waridhie wabunge wanawake 19 waapishwe kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Mkuu kuna mtu gani angeweza kusema uovu wa JPM akiwa hai? Acha ungese aisee.
Chawa wa marehemu kashikwa na uchungu wa ghafla maana haamini kama mabaya ya jiwe hatimaye yapo hadharani na kila mtu anajisomea.Fikiri kama mtu huru usisukumwe na USUKUMA.
Uchafu wa jiwe upo wazi kitambo tu na wengi wanaujua wala si siri. Makada, watumishi serikalini wengi wamekuwa wakisema mauchafu ya jiwe japo kwa kunong'ona.Humu jf kuna id kadhaa zilishawahi kuzungumzia hayo masuala ya kutisha. Ila watu walizipuuzia. Ila kama kabendera kasema, askofu kasema nasubiria comment ya lissu. Inawezekana zile id za jf zilizosema hayo masuala ni za watu waliopo kwenye inner circle ya mfumo.
Umewakaanga kijani kibichi a.k.a wafuasi wa mtakatifu balaa, sijui wataficha wapi nyuso zao.Chawa wa marehemu kashikwa na uchungu wa ghafla maana haamini kama mabaya ya jiwe hatimaye yapo hadharani na kila mtu anajisomea.
Kutetea marehemu jiwe kuwa alikuwa mwema saana na hawezi kufanya mabaya inahitaji kuwa taahira wa kiwango cha juu sana.
Mfalme Daudi wa kwenye biblia pamoja na utakatifu wake alichukua mke wa mwanajeshi wake na akampiga mimba na akaamuru mumewe yaani huyo mwanajeshi apangwe mstari wa mbele vitani ili afe.
Na Daudi akauchuna ila Mungu kupitia nabii Nathan akamuumbua.
Sasa kama Daudi alipotoka kiasi hicho jiwe mvuta bhangi kichaa ni nani hata awe mtakatifu kiasi cha mtu kusema anasingiziwa why asisingiziwe Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete?
Tujiulize hizi habari ku-trend ya migogoro ya Chadema, Abdul kutoa rushwa kwa viongozi wa wengi wa Chadema, tuhuma kuhusu Magufuli zinamnufaisha nani, kuelekea uchaguzi mkuu October 2025?Lissu alikuwa anatrend ama kweli mwaka mpya, kufunga na kufungua ghafla Magufuli anatrend Lissu kasahaulika.
Wewe Nyani acha ishu za kiwaki... hivyo viingereza vyako peleka Chato.Don’t have to, don’t need to.
And if I did, it’d be above your pay grade.
Levels.
I’m deeper than the Challenger Deep.
SiafuPanazidi kukucha, mwaga petrol kwenye kichuguu sihafu watoke shimoni
Because it takes a month to write, publish a book and get Amazon to distribute it.The Lissu and Mbowe saga "caught" them off guard! Apparently, the saga was trailing Mbowe to the link of some party members whereabout !!! Therefore, to the rescue, Kabe has to bring in the spoiler!