Askofu Mwamakula sio mhuni, wahuni ni nyie mnaotetea maovu. Watanzania tunataka Katiba Mpya

Askofu Mwamakula sio mhuni, wahuni ni nyie mnaotetea maovu. Watanzania tunataka Katiba Mpya

Je! Ni vitu hivyo tu abavyo mnataka katiba mpya ifanye? Inaonekana wengi hamjui maana ya katiba! Kufuatana na katiba ya sasa, vipengele vyote ulivyo vitaja ni uhalifu na kama ukimshitaki aliye tenda makosa hayo - kama una ushahidi wa kutosha, ataadhibiwa.
Hivyo kama unatetea kuwepo kwa katiba mpya jaribu kujua faida zake - ni nini ambazo mtanzania wa kawaida atapata.
Hivi we bwege kwa sasa raia wa kawaida wanaweza kuwashitaki hawa watu wanaoua ndugu zao kimakosa bila baraka za Dpp? Rasimu ya Warioba haikupendekenza tume huru? Leo hii unaweza kuhoji matokeo ya urais mahakamani?
 
Chadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Ngoja nijikalie kimya maana ukitoa michango isiyomfurahisha mtoa utaoga matusi ya nguoni......
 
Chadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
We mpuuzi suala katiba mpya linamhusu kila mtanzania. Sio Chadema tu.
 
Watanzania wanahitaji katiba mpya maana wanajua fika mwarobaini wa matatizo yao.

Katiba mpya ndio itayokata mzizi wa fitina wa kila shida inayowakabili watanzania.

Mfano tunataka Katiba ambayo itaruhusu kila mtanzania kuwa na mamlaka ya kusimamia haki za binadamu wenzake,mathalani mtu akiuliwa na vyombo vya dola katiri visivyojali haki za binadamu, ndugu au jamaa za marehemu wawe na uwezo kufungua kesi na kushitaki sio mpaka Jamhuri ifungue kesi.

Tunataka Katiba itayolinda uhuru wa raia wa Tanzania. Raia wawe huru, sio kuwa wanakamatwa hovyo na vyombo vya dola bila sababu. Sio kuwa wanateswa na kuumizwa kisa tu ni watuhumiwa. Tunataka katiba ambayo itamfanya kila mtanzania aache uharifu. Kama ni mharifu apewe adhabu kwa mujibu wa sheria za nchi.

Kwa muktadha huu sioni sababu ya kufanya unafiki na kumuita Askofu Mwamakula muhuni wakati anapambana watanzania kupata katiba itayowasaidia.

Ni wapi aliwahamasisha watanzania kuleta vurugu wakati wanaandamana? Alihamasisha watu wabebe siraha?
Wamkamate watahamasisha vurugu na hii ndiyo itageuka kuwa fimbo yao ya kujichapia
 
Tumempuuza askofu Mwamakula hivyo ameachiwa Kwa dhamana"" read between the line
 
Hajawahi na hatakuja kua mhuni....... Wahuni ni wanasiasa wahuni na waovu ambao kila mara wanakimbilia kujionyesha kwenye madhabahu ya dini na kutaka waombewe huku wakiamuru mauaji ya wenzao kila siku huku wakotumia nyumba za ibada kuongelea siasa.........

Akina Martin Luther na kina Desmond Tutu walitumia utumishi wao vema sana...... Viongozi wote wa kidini akiwemo Yesu walikemea wanasiasa na kudai haki kila uchao.....

Ni mbwa wachache tu wasaka vyeo ndio wanaweza kumuongelea vibaya Askofu Halisi na Mpenda haki km. Biblia inavosema kua Haki huinua Taifa ndio wanaenda kinyume na maneno yake kwa maslahi yao na familia zao sio ya jirani zao na taifa
 
Chadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
Kwahiyo wewe unashauri nini sasa labda unaweza kuwa na jipya?
 
Kwahiyo wewe unashauri nini sasa labda unaweza kuwa na jipya?
Msije na madai ya katiba kwa lengo la kuitoa ccm madarakani. Ainisheni faida za katiba mpya ili na wasio wanazi wa vyama waone watafaidikaje.

Lengo la katiba siyo kuitoa ccm madarakani kama mnavyoaminishana nyie.
 
Watanzania wanahitaji katiba mpya maana wanajua fika mwarobaini wa matatizo yao.

Katiba mpya ndio itayokata mzizi wa fitina wa kila shida inayowakabili watanzania.

Mfano tunataka Katiba ambayo itaruhusu kila mtanzania kuwa na mamlaka ya kusimamia haki za binadamu wenzake,mathalani mtu akiuliwa na vyombo vya dola katiri visivyojali haki za binadamu, ndugu au jamaa za marehemu wawe na uwezo kufungua kesi na kushitaki sio mpaka Jamhuri ifungue kesi.

Tunataka Katiba itayolinda uhuru wa raia wa Tanzania. Raia wawe huru, sio kuwa wanakamatwa hovyo na vyombo vya dola bila sababu. Sio kuwa wanateswa na kuumizwa kisa tu ni watuhumiwa. Tunataka katiba ambayo itamfanya kila mtanzania aache uharifu. Kama ni mharifu apewe adhabu kwa mujibu wa sheria za nchi.

Kwa muktadha huu sioni sababu ya kufanya unafiki na kumuita Askofu Mwamakula muhuni wakati anapambana watanzania kupata katiba itayowasaidia.

Ni wapi aliwahamasisha watanzania kuleta vurugu wakati wanaandamana? Alihamasisha watu wabebe siraha?
Mhuni ni mambosasa na vijana wake wa kamata kamata za kishamba
 
Msije na madai ya katiba kwa lengo la kuitoa ccm madarakani. Ainisheni faida za katiba mpya ili na wasio wanazi wa vyama waone watafaidikaje.

Lengo la katiba siyo kuitoa ccm madarakani kama mnavyoaminishana nyie.
Tumia akili.
 
Back
Top Bottom