KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
AsanteBwege mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteBwege mkubwa.
Bwege mkubwaAsante
Kama watanzania mnataka katiba mpya mbona hamuandamani sasa? Achen unafiki mnaponza askofu,mwambieni ukweli aendelee na kazi yake ya kumtumikia Mungu.Watanzania wanahitaji katiba mpya maana wanajua fika mwarobaini wa matatizo yao....
Umma wa watanzania "abuduni " wiki nzima ,jumapili muhimu kumuabudu Mungu.Utawala huu hauruhusu kukosolewa kwa chochote ila ni kusifiwa na kuabudiwa tu.
Mbona faida zinajulikana tayari na mchakato ulishaanzana, Watanzania wakatoa mawazo yao kabla ukasimamishwa kinyemela na wajuaji wa awamu hii.Je, ni vitu hivyo tu abavyo mnataka katiba mpya ifanye? Inaonekana wengi hamjui maana ya katiba! Kufuatana na katiba ya sasa, vipengele vyote ulivyo vitaja ni uhalifu na kama ukimshitaki aliye tenda makosa hayo - kama una ushahidi wa kutosha, ataadhibiwa.
Hivyo kama unatetea kuwepo kwa katiba mpya jaribu kujua faida zake - ni nini ambazo mtanzania wa kawaida atapata.
Anajua zaidi ya ujuavyo hiyo short list ameiweka Kama kejeli kwa watawala na dola Pumbavu.Je, ni vitu hivyo tu abavyo mnataka katiba mpya ifanye? Inaonekana wengi hamjui maana ya katiba! Kufuatana na katiba ya sasa, vipengele vyote ulivyo vitaja ni uhalifu na kama ukimshitaki aliye tenda makosa hayo - kama una ushahidi wa kutosha, ataadhibiwa.
Hivyo kama unatetea kuwepo kwa katiba mpya jaribu kujua faida zake - ni nini ambazo mtanzania wa kawaida atapata.
Tunataka katiba itakayoruhusu matokeo ya urais yahojiwe mahakamani.Msije na madai ya katiba kwa lengo la kuitoa ccm madarakani. Ainisheni faida za katiba mpya ili na wasio wanazi wa vyama waone watafaidikaje.
Lengo la katiba siyo kuitoa ccm madarakani kama mnavyoaminishana nyie.
Achana nao vijana wa lumumba, sonono zinawatafunaMhuni mamako, alokuzaa bila kufuata utaratibu
Katiba ni kwa watanzania wote, sio chama fulaniChadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
Mwamakula ana umuhimu na ushawishi mdogo kwa umma - na anachefusha umma anapo ingia siasa kwa mgongo wa dini! Angemuiga bosi wake Lissu, ambaye alijitahidi kwa akili zake ndogo eti ku-balance kura za waumini wote kwa kuvaa kanzu na balaghashia kila ijumaa ya kampeni zake! Kitendo cha kujitangaza yeye ni askofu wa dhehebu fulani atawapata wachache. Itakuwa ni vurugu!Wamkamate watahamasisha vurugu na hii ndiyo itageuka kuwa fimbo yao ya kujichapia
Kila kitu kina wasaa wake. hata katiba mpya, muda ukiwadia itakuja. Sio kwa maandamano ya Askofu Mwamakula. He has got no influence on anything. Tusianze kudanganyana na kumdanganya mwenyewe akafikiri analofanya ni la maanaKatiba mpya itapatikana soon, hapo ndipo impact yake utaiona.