Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #21
Hivi we bwege kwa sasa raia wa kawaida wanaweza kuwashitaki hawa watu wanaoua ndugu zao kimakosa bila baraka za Dpp? Rasimu ya Warioba haikupendekenza tume huru? Leo hii unaweza kuhoji matokeo ya urais mahakamani?Je! Ni vitu hivyo tu abavyo mnataka katiba mpya ifanye? Inaonekana wengi hamjui maana ya katiba! Kufuatana na katiba ya sasa, vipengele vyote ulivyo vitaja ni uhalifu na kama ukimshitaki aliye tenda makosa hayo - kama una ushahidi wa kutosha, ataadhibiwa.
Hivyo kama unatetea kuwepo kwa katiba mpya jaribu kujua faida zake - ni nini ambazo mtanzania wa kawaida atapata.
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguziChadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
We mpuuzi suala katiba mpya linamhusu kila mtanzania. Sio Chadema tu.Chadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
Wewe ni mburula.Ngoja nijikalie kimya maana ukitoa michango isiyomfurahisha mtoa utaoga matusi ya nguoni......
AsanteWewe ni mburula.
Wamkamate watahamasisha vurugu na hii ndiyo itageuka kuwa fimbo yao ya kujichapiaWatanzania wanahitaji katiba mpya maana wanajua fika mwarobaini wa matatizo yao.
Katiba mpya ndio itayokata mzizi wa fitina wa kila shida inayowakabili watanzania.
Mfano tunataka Katiba ambayo itaruhusu kila mtanzania kuwa na mamlaka ya kusimamia haki za binadamu wenzake,mathalani mtu akiuliwa na vyombo vya dola katiri visivyojali haki za binadamu, ndugu au jamaa za marehemu wawe na uwezo kufungua kesi na kushitaki sio mpaka Jamhuri ifungue kesi.
Tunataka Katiba itayolinda uhuru wa raia wa Tanzania. Raia wawe huru, sio kuwa wanakamatwa hovyo na vyombo vya dola bila sababu. Sio kuwa wanateswa na kuumizwa kisa tu ni watuhumiwa. Tunataka katiba ambayo itamfanya kila mtanzania aache uharifu. Kama ni mharifu apewe adhabu kwa mujibu wa sheria za nchi.
Kwa muktadha huu sioni sababu ya kufanya unafiki na kumuita Askofu Mwamakula muhuni wakati anapambana watanzania kupata katiba itayowasaidia.
Ni wapi aliwahamasisha watanzania kuleta vurugu wakati wanaandamana? Alihamasisha watu wabebe siraha?
Kwahiyo wewe unashauri nini sasa labda unaweza kuwa na jipya?Chadema ni wajinga sana! Yani ukiwauliza mnataka katiba mpya ili iweje wanakwambia ili tuitoe ccm madarakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani katiba ni karatasi tu, hazipigi kura wala kutangaza matokeo. Hivi kule ambako vyama tawala vimeondolewa kulianza na katiba mpya?
Bwege mkubwa.Asante
Msije na madai ya katiba kwa lengo la kuitoa ccm madarakani. Ainisheni faida za katiba mpya ili na wasio wanazi wa vyama waone watafaidikaje.Kwahiyo wewe unashauri nini sasa labda unaweza kuwa na jipya?
Mhuni ni mambosasa na vijana wake wa kamata kamata za kishambaWatanzania wanahitaji katiba mpya maana wanajua fika mwarobaini wa matatizo yao.
Katiba mpya ndio itayokata mzizi wa fitina wa kila shida inayowakabili watanzania.
Mfano tunataka Katiba ambayo itaruhusu kila mtanzania kuwa na mamlaka ya kusimamia haki za binadamu wenzake,mathalani mtu akiuliwa na vyombo vya dola katiri visivyojali haki za binadamu, ndugu au jamaa za marehemu wawe na uwezo kufungua kesi na kushitaki sio mpaka Jamhuri ifungue kesi.
Tunataka Katiba itayolinda uhuru wa raia wa Tanzania. Raia wawe huru, sio kuwa wanakamatwa hovyo na vyombo vya dola bila sababu. Sio kuwa wanateswa na kuumizwa kisa tu ni watuhumiwa. Tunataka katiba ambayo itamfanya kila mtanzania aache uharifu. Kama ni mharifu apewe adhabu kwa mujibu wa sheria za nchi.
Kwa muktadha huu sioni sababu ya kufanya unafiki na kumuita Askofu Mwamakula muhuni wakati anapambana watanzania kupata katiba itayowasaidia.
Ni wapi aliwahamasisha watanzania kuleta vurugu wakati wanaandamana? Alihamasisha watu wabebe siraha?
Hutaki kuambiwa ukweli?Yani wewe ilibidi uitwe INYEGENDA....
Unanyegeka sana.
Tumia akili.Msije na madai ya katiba kwa lengo la kuitoa ccm madarakani. Ainisheni faida za katiba mpya ili na wasio wanazi wa vyama waone watafaidikaje.
Lengo la katiba siyo kuitoa ccm madarakani kama mnavyoaminishana nyie.
Ili uitoe ccm madarakani?Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Katiba mpya itapatikana soon, hapo ndipo impact yake utaiona.Wangemuacha tu aandamane. Hana impact yoyote.
AsanteBwege mkubwa.
Bwege mkubwa.Asante