Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tamaa ilimuua fisiAskofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Kwenye accademics tunaita Constructive FeedbackMwamakula mitano tena🤣 hili dongo limekaa kisomi sana. Kwenye Negotiations skills tunaita "Constructive Rejection"
Aliyeharibu kipindi nani?1😅Askofu nae anazeeka vibaya. Yani mtu anaharibu kipindi bado tbc ionekane wabaya?
Kwani TBC ni shirika la utangazaji la chama cha mapinduzi?Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Kosa liko wapi?Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Wewe Askofu una matatizo makubwa sana!Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Mzee Wasira kwenye hiyo picha kainamisha kichwa , hajasinzia !Sasa hapo anayetakiwa kuomba radhi ni nani? Aneyesinzia kwenye kikao? Au anayerusha matangazo?
Huyu Mwamakula kumbe anakuwaga Bogus hivi!?Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Na Wewe naye! Hakuna negative. Retardation.It is only retardation meaning negative growth, movement,etc.Mzee akapumzike kwa umri wake ni muda wa kupunguza majukumu na kazi za chama na kiserikali na kulea wajukuu wake BUNDA.
Ukizeeka unarudi UTOTO nacho ona mzee WASSIRA kwa Sasa akili imechoka ni muda Sasa amekua ana UNDERGO NEGATIVE RETARDATION
Kusinzia sio kosa na wala sio ajabu !Kama ni kweli, huo ni zaidi ya unafki 😁😁
Ujumbe sio TBC kuomba radhi Ila mteuliwa kusinzia kikaoni..
Your too Naive.Na Wewe naye! Hakuna negative. Retardation.It is only retardation meaning negative growth, movement,etc.
Rudi shuleni ukatoe ujinga mkuu
Huyu askofu mnafiki sana. Lengo Lake ni kumponda tu Wasira kwamba anasinzia sinzia amechoka apumzikeAskofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Umejuaje? 🐼😂Huyu askofu mnafiki sana. Lengo Lake ni kumponda tu Wasira kwamba anasinzia sinzia amechoka apumzike
Wewe hujui kuwa Asili ya Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) huwa ni Kuchukiana na Kuoneana Wivu? Nimemaliza Mkuu.Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Wangetumia akili mnemba 😁😁Sasa kama muda wote alikuwa amesinzia na yeye ndiye husika mkuu hapo wangefanyaje? Au wangetumia AI imfanye yuko macho? Wasira kazeeka, wangemwacha tu apumzike...
Mzee kusinzia mchana haimaanishi usiku anakuwa na kazi nyingine. Usingizi kwa mzee ni dalili za kufikia wakati wa kulala moja kwa moja, yaani ku R.I.P.Sasa Mzee kupata USINGIZI mbona ni jambo jema?
Wazee wengi Huwa na changamoto ya kukosa USINGIZI!!
Anyway ikiwa anasinzia mchana, usiku Huwa anafanya KAZI Gani?
Hajalala wanamsingizia😅😅