Askofu Mwamakula: Siyo Sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni, TBC Wajieleze na kuomba radhi

Askofu Mwamakula: Siyo Sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni, TBC Wajieleze na kuomba radhi

Huyu mzee ni muongo na hapaswi kuwa Askofu.
Ndo mkao wa mzee popote anapoenda na kukaa.
 
Huyu mzee ni muongo na hapaswi kuwa Askofu.
Ndo mkao wa mzee popote anapoenda na kukaa.
muongo utakuwa wewe
Screenshot_20250206_105401.jpg
 
Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana

Hii ni Saifu ya rejareja. Ukisikia kuchochea kuni kwenye moto ndiyo huku.
 
Mzee Wassira hajasinzia, hapo alikuwa anaandika hiyo note book yake, picha iko wazi kabisa, kashika na kalamu, huyo Askofu wa Chadema aliyejipa uaskofu mwenyewe anaanza kuugua ugonjwa wa akili, anapenda sana attention, kila siku anamalizia anaandika Mwanakondoo ameshinda, sasa hiyo sentensi inahusika vipi na siasa..!!
 
Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana

Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana
Hii ndiyo tabia yake kupiga usingizi kwenye vikao. Kwani hii ni mara ya kwanza?
 
Mzee Wassira hajasinzia, hapo alikuwa anaandika hiyo note book yake, picha iko wazi kabisa, kashika na kalamu, huyo Askofu wa Chadema aliyejipa uaskofu mwenyewe anaanza kuugua ugonjwa wa akili, anapenda sana attention, kila siku anamalizia anaandika Mwanakondoo ameshinda, sasa hiyo sentensi inahusika vipi na siasa..!!
Screenshot_20250206_105401.jpg
 
Back
Top Bottom