Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Hapo sasaHuyu Moses hata ndugu hana?
Acha upumbavu wako,hapa issue sio ya askofu, hapa ni maisha ya binadamu mwenzetu,mtanzania mwenzetu aliyekua na familia kama mimi na wewe, yaani bila hizi ID fake mtu kama wewe ningekutambua ningekuzomea kila wakati unapokwenda kwenye nyumba za ibada, maana wewe ni katili wa roho.Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Kwa kweli tulifikia pabaya. Hebu fikiria mtu anapata wapi ujasiri wa kuomba tenda kutoka kwa Rais wa Tanzania ya kumuua Mtanzania na kui-post humu JF. Tulioisoma hiyo post tulipigwa butwaa!Aisee......
Kumekucha !Shahidi (mtuhumiwa) huyo ameieleza Mahakama kuwa alipokuwa akiteswa, alitishwa na mmoja wa wasulubu (Polisi) wake huku akigusishwa bastola kichwani kuwa na yeye angelitupwa kama alivyotupwa Moses Lijenje bila kutaja alitupwaje na alitupwa wapi na kwa sababu gani. Kwa maneno mengine, wasulubu (Polisi) hao ndio 'walimtupa Moses Lijenje'!
Sasa huyu mke anapoenda kuulizia ndio wanayemmiliki/ kumtupa unaona watafanyia kazi madai yake.Very curious, inakuwaje hakuna hata mke kumuulizia? Kipindi cha Magu tungesema anaogopa, hadi hivi sasa?
Ajitokeze hata kwenye media!Sasa huyu mke anapoenda kuulizia ndio wanayemmiliki/ kumtupa unaona watafanyia kazi madai yake.
We ni taira sana asee jaribu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wakoMwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Wewe ndiye unapuuzwa na kila mwenye akili timamu.Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Pumbavu!Hapo sasa
Mwamakula anavalia njuga kitu asichojua!!
RIP commando!!TUSILALE USINGIZI PASIPO KUJUA MOSES LIJENJE YUKO WAPI NA ANA HALI GANI!
View attachment 2391595
Kamanda Kingai na Afande Mahita katika nyakati tofauti kila mmoja akiwa chini ya kiapo, walitoa ushahidi Mahakamani kuwa walikuwa wakimtafuta mtuhumiwa Moses Lijenje kule Moshi. Lakini mmoja wa watuhumiwa hao (aliyesadikiwa kuwa pamoja na Moses Lijenje katika program ya VIP Protection ya Mbowe); akiongozwa na Mawakili wa Utetezi, ameieleza Mahakama mara kadhaa juu ya Moses Lijenje.
Shahidi (mtuhumiwa) huyo ameieleza Mahakama kuwa alipokuwa akiteswa, alitishwa na mmoja wa wasulubu (Polisi) wake huku akigusishwa bastola kichwani kuwa na yeye angelitupwa kama alivyotupwa Moses Lijenje bila kutaja alitupwaje na alitupwa wapi na kwa sababu gani. Kwa maneno mengine, wasulubu (Polisi) hao ndio 'walimtupa Moses Lijenje'!
Mambo mengine ni ya Jaji na Mahakama, sisi watetezi wa haki tuna jambo letu. Kama watetezi wa haki ni lazima tutake kujua Moses Lijenje yuko wapi na hali yake ikoje huko aliko. Kama kweli ametupwa, ametupwa na nani na kwa sababu gani na ametupwa wapi na hali yake ikoje huko aliko? Kutupwa huko kuna maana gani? Kesi hiyo inaweza kuchukua muda mrefu kuisha, lakini hiyo haituzuii sisi watetezi wa haki kutafuta kujua wapi aliko mtu anayeitwa Moses Lijenje na hali yake ikoje.
Kwa sababu hiyo, sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito wa kila Mtanzania kufanya 'manhunt' yaani kuanza kumtafuta mtu aitwaye Moses Lijenje kuanzia muda huu. Jeshi la Polisi linao wajibu wa kuuambia umma ni wapi alipo ndugu Moses Lijenje! Paza sauti yako kwa kusema, kuandika na kusambaza ujumbe hadi uwafikie walio karibu na Lijenje, wanaomhifadhi, alikokimbilia au waliomtupa!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Lazima una matatizo ya akili. Hapa tunaongelea juu ya uhai wa mtu, wewe u unaleta maneno ya kipuuzi kabisa.Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
acha ujinga wako bhana. kama jambo huna maslahi nalo kaa kimya? hivi leo mtu akihojiMwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Kwani Sasa hivi watu hawaokotwi kwenye viroba?Very curious, inakuwaje hakuna hata mke kumuulizia? Kipindi cha Magu tungesema anaogopa, hadi hivi sasa?